TANZIA Mzee David Makerege (80) Afariki Dunia Akiwa Chumbani Kwenye Hoteli ya Mbezi Garden Jijini Dar es Salaam

TANZIA Mzee David Makerege (80) Afariki Dunia Akiwa Chumbani Kwenye Hoteli ya Mbezi Garden Jijini Dar es Salaam

Nakogoaaaa...nakogoaaa...nakogoaaa..[emoji23]
Kuya kabisa basi![emoji23]
Unajua kule kijijini ukichepuka kirahisi tu mnakwenda kwenye migomba. Sasa Kuna jamaa alifumaniwa akiwa katika hiyo Hali ya kukogoaa. Mfumaniaji Ni mume wa mke anayechepuka. Yule mfumaniaji hakutaka kuwaadhibu wagoni. Alichofanya alichukua nguo zao zote na kuzipeleka kwa mke wa mgoni wake na kusubiri.
Adha waliyopata wakiwa uchi mchana wa jua Kali uchi migombani hawatakaa waisahau.
 
"ukifinyiwa ndani" lazma uimbe nyimbo zote, hadi zile za chekechea
Hapo ndio unakuta jamaa kaoa mke msomi mwenye cheo, pesa, mzuri, heshima, mpishi mzuri lakini jamaa amezama kwa mtoto wa kizaramo huko uswahilini Kiwalani.
Kufinyiwa ndani isikie tu. Unaweza kuhonga tiivii na redio na kiwanja chenye hati.
 
Unajua kule kijijini ukichepuka kirahisi tu mnakwenda kwenye migomba. Sasa Kuna jamaa alifumaniwa akiwa katika hiyo Hali ya kukogoaa. Mfumaniaji Ni mume wa mke anayechepuka. Yule mfumaniaji hakutaka kuwaadhibu wagoni. Alichofanya alichukua nguo zao zote na kuzipeleka kwa mke wa mgoni wake na kusubiri.
Adha waliyopata wakiwa uchi mchana wa jua Kali uchi migombani hawatakaa waisahau.
Mungu wangu hahhaah[emoji23]
 
Apumzike kwa Amani!

Pole sana kwa mke wa marehemu na familia, Muumba awape uvumilivu mumsitiri mwendazake bila kinyongo maana amewavua nguo!

Sad!

Huyo binti kanisikitisha mno! Mno!
Mwendazake wewe ndio muasisi wa hili neno?
 
Back
Top Bottom