Sio kwa kifua. Ilikua chuma mboga.....mwisho wa game ilikuwaje? Alizimika au alifia kwa kifua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kwa kifua. Ilikua chuma mboga.....mwisho wa game ilikuwaje? Alizimika au alifia kwa kifua?
Pesa, Mkuu!Ila na hawa mabinti wa siku hizi hawana adabu. Kweli Babu wa miaka 80 anavuliwa chupi na binti wa miaka 33? Tofauti ya miaka 47? Kweli kiama kije tu wajameni.
Ule wakati wazungu wakitoka ndio muda mmbaya. Hata kwa vijana uvutaji wa pumzi hubadilika. Kwa mzee je?.....mwisho wa game ilikuwaje? Alizimika au alifia kwa kifua?
Haina uzeeKafia juu ya kidonda
Unajua kule kijijini ukichepuka kirahisi tu mnakwenda kwenye migomba. Sasa Kuna jamaa alifumaniwa akiwa katika hiyo Hali ya kukogoaa. Mfumaniaji Ni mume wa mke anayechepuka. Yule mfumaniaji hakutaka kuwaadhibu wagoni. Alichofanya alichukua nguo zao zote na kuzipeleka kwa mke wa mgoni wake na kusubiri.Nakogoaaaa...nakogoaaa...nakogoaaa..[emoji23]
Kuya kabisa basi![emoji23]
Hapo ndio unakuta jamaa kaoa mke msomi mwenye cheo, pesa, mzuri, heshima, mpishi mzuri lakini jamaa amezama kwa mtoto wa kizaramo huko uswahilini Kiwalani."ukifinyiwa ndani" lazma uimbe nyimbo zote, hadi zile za chekechea
Mungu wangu hahhaah[emoji23]Unajua kule kijijini ukichepuka kirahisi tu mnakwenda kwenye migomba. Sasa Kuna jamaa alifumaniwa akiwa katika hiyo Hali ya kukogoaa. Mfumaniaji Ni mume wa mke anayechepuka. Yule mfumaniaji hakutaka kuwaadhibu wagoni. Alichofanya alichukua nguo zao zote na kuzipeleka kwa mke wa mgoni wake na kusubiri.
Adha waliyopata wakiwa uchi mchana wa jua Kali uchi migombani hawatakaa waisahau.
Mzee mwenzangu ushazimua asubuhi asubuhi au?😂😂😂Nakogoaaaa...nakogoaaa...nakogoaaa..[emoji23]
Kuya kabisa basi![emoji23]
Babu kaitwa baby😂😂 nakogoaaa😂Vijana mnakwama wapi?View attachment 2080245
Mwendazake wewe ndio muasisi wa hili neno?Apumzike kwa Amani!
Pole sana kwa mke wa marehemu na familia, Muumba awape uvumilivu mumsitiri mwendazake bila kinyongo maana amewavua nguo!
Sad!
Huyo binti kanisikitisha mno! Mno!
Vijana mnakwama wapi?View attachment 2080245
Hivi miaka 80 mwanaume bado tu ana hamu sana ya ngono?Baby wa 80 yrs, loh