Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kwani sie tunataka viwe na mwisho...pale tunataka burudani kamwe huqezi kuikomoa papuchiGreat to see that you are finally coming around!
In males, Over using your Organ ni sababu moja wapo ya kufika uzeeni ukiwa mnara hausomi vizuri na nguvu za mwili kiujumla kupotea!
Cheza kwa step so as you can have a healthy uzee! Haya mashimo hayana mwisho !
🤣🤣🤣Jamani nacheka kama ni vizuri😀😀
Hajui ni jinsi gani virungu/vichwa vidogo vinavyosumbua nyie!!??Nionyeshe Habari ya mwanamke wa umri wa miaka 80 aliefia lodge kwenye kifua cha kijana wa miaka 35?! Almost impossible right?
Sometimes we refuse to see how bad something is until it completely destroys us! You could never play a root and a branch at the same time!
Sii wa mtwangio ...meaningi kwamba kibibi kudedi sio rahisiKwani hapa tuko kwenye msiba wa nani? (Kinu ama Mtwangio?)
Mkuu kwani hujui wabongo wengi ni akili fupi!?Hivi kwa nini watu wanakuwa na reasoning ya chini hivi?
Mtu anasema demu anakubalije kuhongwa hela from that 37k na kutoa K. What if mzee ana muhudumia everyday kwenye kodi,chakula, mavazi n.k? Atahitaji kumhonga tena kila anapotaka kumgegeda?
[emoji817][emoji109]Interest ya mwanamke duniani si pesa,ndio maana mwanamke hata awe na kipato kikubwa kuliko mume wake bado atamtegemea mume wake kwa asilimia kubwa......yaani mwanamke anataka ule uanaume ule wa mwanaume,uongo uongo,swagers,ubabe,ukauzu etc
Mwanamke hata amiliki range rover ,ukimtoa out ukampandisha vitz yako na misosi ya maana uwezekano wa kumgonga hata kama akupendi ni mkubwa mno,akili ya mwanamke ipo too emotional.....yaani waweza sema mtoto mdogo hivi,lakini ndio maumbile hayo...how brain works!!!!!
Mkuu kwani hujui wabongo wengi ni akili fupi!?Hivi kwa nini watu wanakuwa na reasoning ya chini hivi?
Mtu anasema demu anakubalije kuhongwa hela from that 37k na kutoa K. What if mzee ana muhudumia everyday kwenye kodi,chakula, mavazi n.k? Atahitaji kumhonga tena kila anapotaka kumgegeda?
Una mitusi....!!Maninaa[emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji23]santee[emoji122][emoji122][emoji122]
Mabaharia njooni huku......We nyau kweli[emoji76][emoji76][emoji76]
Mi nimehongwa zaidi ya hizo takataka sijui 2M na uchi sijatoa
Kutoa uchi ni maamuzi sio pesa! Hii nazungumzia upande wangu!
Narudia K naitoa kwa maamuzi yangu sio eti unibabaishe na hela, kama ni hela na mimi ninazo mfyuuuu
Uliwaza nini huo msemo umenikumbusha😀😀
Sasa mpwa nikikukuta na mtu mnafurahi huku mnakunywa juice utaniangalia tu? Si lazima useme kitu ili mjombaako niondoe chengaHiyo hainaga kutambulishana
mrangi mwacheni huyu mzee jamani 😐😐😐😐😐Mtu mwenye hekima zake njoo ushushe nondo
Humu tafadhali uzi huu bila cmnt yako haipendezi
mama D
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
🙏Hakuna aliye msafi Fereke . Huyu mzee watu tumemnanga sana na kumfedhehesha akiwa hana uwezo wa kujitetea, kuomba msamaha wala kutujibu chochote.
Tumeiadhibu na kuiumiza sana sana familia yake na watu wake wa karibu haswa mke wake, watoto, wajukuu, marafiki na majirani
Hukumu, kejeli, dharau na yote ya kwenye hii mitandao inaweza kusababisha tatizo kubwa zaidi kwa wapendwa wake waliobaki. Inaweza sonona hata kusababisha kifo kingine
Tumwombe sana Mungu atujalie neema yake mabaya yasitukute hata mwisho tufe kifo chema.
Na tusisahau we are all sinners, we just sin differently! Chochote chaweza kumkuta mtu yoyote iwapo bado anaishi
Mtoto balaa huyu.......Hivi huyu mtoto kati ya 37,000 iliyobaki angepata mgao wa shingapi[emoji848]View attachment 1681375View attachment 1681376View attachment 1681377
All cats are gray in the dark!!Ulikuwa usemi wa walevi lakini kwa hapa nina maana "wanaume wote ndivyo walivyo" Mungu kaamua kumuumbua huyu lakini tuko hivyo.
Mnatugonga retention fees sana hadi tumeamua kuwaachia washua sasa [emoji13]
Lifisiemu hilo.....Mtu mwenye hekima zake njoo ushushe nondo
Humu tafadhali uzi huu bila cmnt yako haipendezi
mama D
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Namimi niko kwenye kundi la hao wajinga. Inasikitisha sana yani [emoji37][emoji37][emoji37]
Una umri gani?Mzee wa miaka 80 alienda kupiga kazi ya miaka 33 huku akiwa na 37,000 mfukoni baada ya chipsi na mishkaki 3.
Inasemwa kwamba daktari ndiye anaweza declare mtu kufariki, hivyo huu uongozi wa gesti kudai uligundua mteja wao amefariki na kuamua kutaarifu polisi ni move sahihi kweli?
As walitumia kipimo gani? Achana na muvi ule mtindo wa kusikiliza kifua... Mimi naona na mtu aliyetoa taarifa ya kifo angehojiwa pia.
Heheheee mlivyoambiwa na Tundu muandamane uliandamana au ulijificha hapohapo nyuma ya keyboard 🤣🤣🤣🤣🤣Lifisiemu hilo.....
hana hekima hata kidogo.....
wakati wa uchaguzi alikuwa anarusha makombora ya hovyo sana.....