TANZIA Mzee David Makerege (80) Afariki Dunia Akiwa Chumbani Kwenye Hoteli ya Mbezi Garden Jijini Dar es Salaam

TANZIA Mzee David Makerege (80) Afariki Dunia Akiwa Chumbani Kwenye Hoteli ya Mbezi Garden Jijini Dar es Salaam

Hapo kwenye 37,000/=.... Hahahahaha, kwa hiyo Babu alikuwa anamlipa kifuta jasho shilingi ngapi huyo manzi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani Mimi nikivaa viatu vya mke wa marehemu vinanibana!!

Analia kufiwa na mume? Analia mumewe kafa akiwa na mwanamke mwingine nyumba ya wageni? Analia kwa kifo Cha aibu kilichomkumba mumewe? Analia anawawazia wanae wanajisikiaje juu ya tukio?

Yaani analia na haelewi hasa nini kinamliza.

Khaa wanaume mengine mtupunguzie jamani. Kuna umri ukifika jaribuni kushindana na hiyo mnayosema "necha"
Habari hii ilipaswa kufichwa majina ili kuwapa faragha wahusika,
Tukio kama hili limewahi kutokea mbagala lakini halikuenda viral namna hii tulizika marehemu mengine yakapita

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Aibu kubwa hii kwa Mzee, ndugu, watoto na jamaa zake
 
Wanawake kutwa kutaka hela
Wanataka sim magari ndomana wanakimbilia wazee....acha wakutane na misala sasa

Ova
Ndo mujitahidi Mkuu mana ndo kama hivyo vizuri vinachukuliwa na wababu. 😀
 
Vijana hawana pesa.
Inabidi wakomae kuzisaka aisee. Japo wenyewe wanasema wazee wanakuwa hawana majukumu eti.

Hivyo hata kijana akiwa nazo haezi zimwaga na kuzitumia hovyo sababu majukumu ni mengi.
 
Huu uzi mpaka dakika hii umefikisha comment 725 sikutegemea kama ungefikia hapa ...... tena umewekewa Hashtag Tanzia
 
Sikujua kama hasira za watu kushindwa uchaguzi mwaka Jana zinaendelea secret file 🤔🤔🤔

Watanzania waumini wa Tundu acheni kuweka hasira moyoni mnajiumiza bure wakati wanufaika wanafurahia maisha.... Maalim na Zito wameshaunga mkono juhudi. Tundu anakula hata Belgium, mwenyekiti anakula ruzuku
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
ligi ishaanza
Goodmorning

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
😂😂😂
Heheheee mlivyoambiwa na Tundu muandamane uliandamana au ulijificha hapohapo nyuma ya keyboard 🤣🤣🤣🤣🤣
😁😁😁😁
Lifisiemu hilo.....
hana hekima hata kidogo.....
wakati wa uchaguzi alikuwa anarusha makombora ya hovyo sana.....
😥😥😥
Mtu mwenye hekima zake njoo ushushe nondo
Humu tafadhali uzi huu bila cmnt yako haipendezi
mama D

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Unajua umenipiga hizi u know u know nyingi mpaka sasa mie nimeshindwa elewa hapa tuna argue kitu gani....refresh my memory
[emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Great to see that you are finally coming around!

In males, Over using your Organ ni sababu moja wapo ya kufika uzeeni ukiwa mnara hausomi vizuri na nguvu za mwili kiujumla kupotea!

Cheza kwa step so as you can have a healthy uzee! Haya mashimo hayana mwisho !
Unamaanisha mwanaume apunguze kufanya sex ili awe imara mpaka uzeeni?
 
Hajui ni jinsi gani virungu/vichwa vidogo vinavyosumbua nyie!!??
muda wote vinatamani kukaa kwenye mashimo malini yenye joto......
tungesema siku moja tuwaazime haya magegedo mngechanganyikiwa nyie.....
mnaongea tu kwasababu hamjui hali halisi!
Wee masikini kumbe mnateseka hivo?
 
Back
Top Bottom