TANZIA Mzee David Makerege (80) Afariki Dunia Akiwa Chumbani Kwenye Hoteli ya Mbezi Garden Jijini Dar es Salaam

TANZIA Mzee David Makerege (80) Afariki Dunia Akiwa Chumbani Kwenye Hoteli ya Mbezi Garden Jijini Dar es Salaam

Huyu mzee katikisa sana!
Ila sio mbaya kwenye msiba wake atapigiwa mizinga 21-alisikika mtangazaji mmoja wa citizen Radio Kenya.

Alaf nawaza kwa sauti hivi huyo mwanamke hayupo humu?..au hata ndg yake?
 
Watumia viagra na vumbi la kongo wapo wengi tu wengine hata miaka 40 hawajafika, wanaume wengi tu 36 nguvu za kiume hamna mkienda bao moja tu hoi kulitafuta la pili na shughuli haswa embu kuleni vizuri na mfanye mazoezi
 
Afu vumbi la kongo linafanya mashine inakuwa ngumu haswa na mishipa kutokeza yaani baada ya raha ni karaha hapo ujiandae kupata na vidonda ukeni maana masaa mawili mtu hakojoi mpaka kuja kumaliza show nzima unaumwa siku tatu
 
Watumia viagra na vumbi la kongo wapo wengi tu wengine hata miaka 40 hawajafika, wanaume wengi tu 36 nguvu za kiume hamna mkienda bao moja tu hoi kulitafuta la pili na shughuli haswa embu kuleni vizuri na mfanye mazoezi
Hivi shida ni nini?

Wanakula Sana chipsi zege?
 
Wanaokoma ni wao, hujaona haya matangazo yalivyoshamiri witnessj?

View attachment 1681855

Sisi tukianza kutumia za kuongeza nguvu za wataikimbia dunia
Hawatujui hawa, sema nini tutawauwa kitandani bure hawa tupate murder case

Mwanaume anashindia maji kubwa, mhogo wa mia mbili mbichi na karanga yaan[emoji15] halafu anaenda kwenye gemu
 
Mie niko mliko nyie hapa hapa Daslamu na hii huduma wanapewa wadada wazuri tu wa hapa hapa town. Ukilishia Marry brown na KFC trip mbili umemaliza.😂
Yaa sure hiyo inaitwa majalo.....
unabakiza kutia kichwa tu ufunge goli....
 
Sikujua kama hasira za watu kushindwa uchaguzi mwaka Jana zinaendelea secret file 🤔🤔🤔

Watanzania waumini wa Tundu acheni kuweka hasira moyoni mnajiumiza bure wakati wanufaika wanafurahia maisha.... Maalim na Zito wameshaunga mkono juhudi. Tundu anakula hata Belgium, mwenyekiti anakula ruzuku

😂😂😂

😁😁😁😁

😥😥😥
Siku nikikukuta kitaa nitakuchapa vibao viwili vitatu ukome....
mtoto wa kike una lugha ngumu kama kuli....!!??
ili siku nyingine hasa wakati wa chaguzi uwe na adabu
 
Hawatujui hawa, sema nini tutawauwa kitandani bure hawa tulare murder case

Mwanaume anashindia maji kubwa, mhogo wa mia mbili mbichi na karanga yaan[emoji15] halafu anaenda kwenye gemu
Acheni dharau nyie watu, mkuu mi ntakunywea K.Vant ndogo tu na bitter lemon

Utakimbia kitanda[emoji851][emoji851]
 
Siku nikikukuta kitaa nitakuchapa vibao viwili vitatu ukome....
mtoto wa kike una lugha ngumu kama kuli....!!??
ili siku nyingine hasa wakati wa chaguzi uwe na adabu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahahahaaaa lugha ngumu ipi my brother
Nimecheka sana dah
 
Afu vumbi la kongo linafanya mashine inakuwa ngumu haswa na mishipa kutokeza yaani baada ya raha ni karaha hapo ujiandae kupata na vidonda ukeni maana masaa mawili mtu hakojoi mpaka kuja kumaliza show nzima unaumwa siku tatu
Vipi ushawai kuvimba ukeni labda ...hebu waeleze wenzako waelewe
 
Hivi shida ni nini?

Wanakula Sana chipsi zege?

1. Tatizo kubwa ni stress ndio zinachangia sana upungufu wa nguvu za kiume!! Kijana wa 20s wengi bado kula kulala hawazi hela ya kodi,hawazi kodi ya meza,hawazi hela ya ada ya watoto,etc yeye muda mwingi ni kutulia kijiweni au sebuleni anaangalia TV kwahiyo mwili wake unakuwa hauna uchovu wala stress!!

2.Magonjwa - Watu wengi wana magonjwa bila wao kujijua matatizo ya pressue ,kisukari ,cholesterol,vidonda vya tumbo,bawasiri,constipation etc Magonjwa hayo yana athiri sana libido/sex drive.

3.Watu wengi hatuna elimu ya mazoezi ya viuongo...Ili Mtalimbo usimamae inahitajika flow nzuri ya damu,sasa kama damu haiflow vizuri obvious mashine lazima itakuwa legelege ,kufanya mazoezi ya kukimbia ,kutembea hukufanya mwili kuwa na flow nzuri ya damu ,pia kuna kergel nayo inasaidia sana kuleta stamina kwa kukuza pc muscles.

4.Mazoea/Kuchokana-Hapa mwanamme/mwanamke anakua haonyeshi ufundi au mashamsham kama awali walipokuwa wanakutana,tabia hii ya kuleta mazoea kwenye uhusiano nayo inachangia hata kupunguza mizuka ya ku do!! Ili mtalimbo usimame unahitaji pia mashamsham kutoka kwa mwenzi ,inahitaji mvuto! Sasa awali m/ke alikuwa figa figali shepu shepu chuchu konzi 6 oclock baada ya muda mwili futu futu kama kiroba au sanamu la michelini au mwili kama betina flat screen aka rula aka namba 1 hapo lazima mzuka uishe.

5.Elimu ya misosi:- wengi hawaelewi uhusiano wa misosi na nguvu za kiume ,kuna misosi inachangia sana katika kuongeza amount ya semen au hormones za kiume ambazo ndio msaada wa kukufanya kuwa mwanamme,kula matunda(tikiti) na mbegu(maboga),maji kwa wingi nayo yanamsaada katika sector hiyo.
 
34,000si kweli, washenzi wezi polisi
...kwa Busara ya Kawaida tu, Marehemu na Wazi kuwa alikuwa anafahamu kabida kuwa Mrembo alikuwa anampendea Hela take tu.

No wazi kuwa 'Kikao' chao hiki kilikuwa kifanyike baada ya muda mrefu kidogo was 'Kikao' cha Mara ya mwisho kufanyika, kila Mara mrembo akimpa mzee kisingizio cha 'kukosa nafas'!

Haingii akilini kabisa kwamba Marehemu aendeke kwenye Kikao' hiki kilichomuondoa na Shilingi Alfu 40 tu!

Kwamba baada ya Kikao' mzee wetu aipe hiyo pisi sh Alfu 20 ama 30??? Acheni Utani.

Marehemu atakuwa amekwenda hapo na 'Mzigo Mzito'wa kumuachia Mrembo kama kishawishi cha kumfanya apende kuhudhuria vikao kila anapoitwa na asiko nafasi!

Kuna watu wa Kuulizwa vizuri hapo kuhusu Bulungutu LA Marehemu !!! [emoji848][emoji848]
Akili za kawaida tu.....!![emoji853][emoji853][emoji853]
 
Back
Top Bottom