Baba Emmanuel
Member
- Jul 18, 2012
- 10
- 1
Niliwahi kusikia kuwa FUTUHI ni ile ngozi laini kwenye tundu ya kutolea haja kubwa, au nimekosea?
Futuhi ndo nn, btw RIP
Niliwahi kusikia kuwa FUTUHI ni ile ngozi laini kwenye tundu ya kutolea haja kubwa, au nimekosea?
not true..
futuhi, kwa lugha ya kimagharibi ni comedy!
tasnia inayotumia mbinu ya kumfanya hadhira afurahie anachokiona au kukisikia!