Mzee Fumba Macho: Bila uongozi bora na akili bora nchi yetu itabaki kuwa maskini tu. Sasa ni miaka 60, CCM mpewe miaka mingapi?

Mzee Fumba Macho: Bila uongozi bora na akili bora nchi yetu itabaki kuwa maskini tu. Sasa ni miaka 60, CCM mpewe miaka mingapi?

Rasterman

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2015
Posts
33,894
Reaction score
44,117
Huyu mzee Fumba Macho mzaliwa wa Mwanza Magu amelifimbua macho taifa ktk hotuba yake aliyoitoa kwenye jukwaa la Club House.

Mchungaji huyo amemtaja Prof Assad kuwa ni Mwislam mcha Mungu sana.

Pili amelitaja tatizo kubwa la ccm na tanzania ni mifumo mibovu ambayo imejaza watendaji wasio na uwezo.

Ametaja pia kuna makristo mengi na malozali yao na misalaba na Maislam mengi majizi na mala rushwa ndani ya utawala kwa miaka 60 sasa ya uhuru.

Mchungaji huyo anayeishi Texas Marekani ametanabaisha kuwa kutokana na uongozi unaokosa sifa tumejikuta Nchi yetu ikiwa maskini pamoja na kuwa na rasilimali nyingi.

Ukimsikiliza Mzee Funga Macho utapenda kumsikiliza kwa masaa mengi kutokana na Nasaha zakekwa Taifa na wananchi .

Amepigia mstari swala la amani, umoja na ustawi wa haki ktk taifa kama ngao ya kutuletea maendeleo Nchini.

Yeye kama advocate wa Haki amwmpongeza Rais Samia kwa kitendo chakecha kuwaachia Mashekhe wa uamusho na kuonesha kukerwa na kitendo cha Rais kuwambia mawaziri wale kwa urefu wa kamba zao.
 
Huyu mzee Fumba Macho mzaliwa wa Mwanza Magu amelifimbua macho taifa ktk hotuba yake aliyoitoa kwenye jukwaa la Club House.

Mchungaji huyo amemtaja Prof Assad kuwa ni Mwislam mcha Mungu sana.

Pili amelitaja tatizo kubwa la ccm na tanzania ni mifumo mibovu ambayo imejaza watendaji wasio na uwezo.

Ametaja pia kuna makristo mengi na malozali yao na misalaba na Maislam mengi majizi na mala rushwa ndani ya utawala kwa miaka 60 sasa ya uhuru.

Mchungaji huyo anayeishi Texas Marekani ametanabaisha kuwa kutokana na uongozi unaokosa sifa tumejikuta Nchi yetu ikiwa maskini pamoja na kuwa na rasilimali nyingi.

Ukimsikiliza Mzee Funga Macho utapenda kumsikiliza kwa masaa mengi kutokana na Nasaha zakekwa Taifa na wananchi .

Amepigia mstari swala la amani, umoja na ustawi wa haki ktk taifa kama ngao ya kutuletea maendeleo Nchini.

Yeye kama advocate wa Haki amwmpongeza Rais Samia kwa kitendo chakecha kuwaachia Mashekhe wa uamusho na kuonesha kukerwa na kitendo cha Rais kuwambia mawaziri wale kwa urefu wa kamba zao.
Watanzania naomba kuwauliua. Nani anatuzuia sisi kuandamana ili kufai haki za nchi yetu?
 
Nataka wakat wa mchakato wa kampeni za uchaguzi 2025,wagombea wote wa ccm hata kama ni diwan akitoa nafas ya kuuliza maswali tuwe na swali moja tu kuwa kwanini ccm hawataki kuanzisha mchakato wa katiba mpya
 
Huyu mzee Fumba Macho mzaliwa wa Mwanza Magu amelifimbua macho taifa ktk hotuba yake aliyoitoa kwenye jukwaa la Club House.

Mchungaji huyo amemtaja Prof Assad kuwa ni Mwislam mcha Mungu sana.

Pili amelitaja tatizo kubwa la ccm na tanzania ni mifumo mibovu ambayo imejaza watendaji wasio na uwezo.

Ametaja pia kuna makristo mengi na malozali yao na misalaba na Maislam mengi majizi na mala rushwa ndani ya utawala kwa miaka 60 sasa ya uhuru.

Mchungaji huyo anayeishi Texas Marekani ametanabaisha kuwa kutokana na uongozi unaokosa sifa tumejikuta Nchi yetu ikiwa maskini pamoja na kuwa na rasilimali nyingi.

Ukimsikiliza Mzee Funga Macho utapenda kumsikiliza kwa masaa mengi kutokana na Nasaha zakekwa Taifa na wananchi .

Amepigia mstari swala la amani, umoja na ustawi wa haki ktk taifa kama ngao ya kutuletea maendeleo Nchini.

Yeye kama advocate wa Haki amwmpongeza Rais Samia kwa kitendo chakecha kuwaachia Mashekhe wa uamusho na kuonesha kukerwa na kitendo cha Rais kuwambia mawaziri wale kwa urefu wa kamba zao.
Bora wameanza kuona ufisadi wa CCM
 
Nataka wakat wa mchakato wa kampeni za uchaguzi 2025,wagombea wote wa ccm hata kama ni diwan akitoa nafas ya kuuliza maswali tuwe na swali moja tu kuwa kwanini ccm hawataki kuanzisha mchakato wa katiba mpya
Hilo swali hata Rais Samia hana majibu. Ni swali gumu sana
 
Huyu mzee Fumba Macho mzaliwa wa Mwanza Magu amelifimbua macho taifa ktk hotuba yake aliyoitoa kwenye jukwaa la Club House.

Mchungaji huyo amemtaja Prof Assad kuwa ni Mwislam mcha Mungu sana.

Pili amelitaja tatizo kubwa la ccm na tanzania ni mifumo mibovu ambayo imejaza watendaji wasio na uwezo.

Ametaja pia kuna makristo mengi na malozali yao na misalaba na Maislam mengi majizi na mala rushwa ndani ya utawala kwa miaka 60 sasa ya uhuru.

Mchungaji huyo anayeishi Texas Marekani ametanabaisha kuwa kutokana na uongozi unaokosa sifa tumejikuta Nchi yetu ikiwa maskini pamoja na kuwa na rasilimali nyingi.

Ukimsikiliza Mzee Funga Macho utapenda kumsikiliza kwa masaa mengi kutokana na Nasaha zakekwa Taifa na wananchi .

Amepigia mstari swala la amani, umoja na ustawi wa haki ktk taifa kama ngao ya kutuletea maendeleo Nchini.

Yeye kama advocate wa Haki amwmpongeza Rais Samia kwa kitendo chakecha kuwaachia Mashekhe wa uamusho na kuonesha kukerwa na kitendo cha Rais kuwambia mawaziri wale kwa urefu wa kamba zao.
Mkuu mimi kama kijana wa mboga mboga aka praise and worship team.. tunaomba kwa heshima na taadhima tuongezewe mingine at least miaka 30 tutamaliza changamoto zote za maji na matundu ya choo mkuu, ni hayo tu!!
 
Kiusahihi anaitwa "Mzee Fumbua Macho." Ni Bishop Dr. Augustine Mpemba aliyekuwa Mwanza kanisa la TFE na pia mmiliki wa kituo cha redio cha "Kwa Neema FM."
 
Engine ya submarine, Uncle Mafanikio nikireport kutoka Texas Marekani, Dunia isiyokuwa na Maleria Agayaaaa
 
Mkuu mimi kama kijana wa mboga mboga aka praise and worship team.. tunaomba kwa heshima na taadhima tuongezewe mingine at least miaka 30 tutamaliza changamoto zote za maji na matundu ya choo mkuu, ni hayo tu!!
Hehee sawa dola mnayo hamshindwi
 
Kiusahihi anaitwa "Mzee Fumbua Macho." Ni Bishop Dr. Augustine Mpemba aliyekuwa Mwanza kanisa la TFE na pia mmiliki wa kituo cha redio cha "Kwa Neema FM."
Kumbe ni Mpemba? Mbona kama nilikuwa namjua.
 
Back
Top Bottom