TANZIA Mzee Gabriel Mandara afariki

TANZIA Mzee Gabriel Mandara afariki

Tusker Bariiiidi

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2007
Posts
5,551
Reaction score
2,153
Kwa maskitiko makubwa nimepokea taarifa ya kufariki kwa Mzee wetu Maarufu sana kwa Miji ya Moshi na Tanga miaka ya 1960es mpaka 1990es kwa biashara mbali mbali kilichotokea leo nyumbani kwake kwa kinachosadikika kuijua kwa kujipiga Risasi mchana huu. Mzee Gabriel Mandara alikuwa anasumbuliwa na maumivu ya miguu ambayo ilipelekea kulazwa mara kwa mara na mara ya mwisho alilazwa KCMC mwezi uliopita. Bwana ametoa na Bwana ametwaa Jina la Bwana Libarikiwe.
 
Mbona hawa wengi wanaomiliki silaha,wanajiua wenyewe,badala ya kujilinda.Juzi tulipewa taarifa mmiliki wa mabasi huko Sikonge,alijiua na bastola pia.
 
Aliona kufa hafi ila cha moto anakiona.

Pengine aliona ndio suluhisho pekee la yeye kuepuka hayo maumivu.(labda kama itatokea sababu nyingine)
 
Kwa maskitiko makubwa nimepokea taarifa ya kufariki kwa Mzee wetu Maarufu sana kwa Miji ya Moshi na Tanga miaka ya 1960es mpaka 1990es kwa biashara mbali mbali kilichotokea leo nyumbani kwake kwa kinachosadikika kuijua kwa kujipiga Risasi mchana huu. Mzee Gabriel Mandara alikuwa anasumbuliwa na maumivu ya miguu ambayo ilipelekea kulazwa mara kwa mara na mara ya mwisho alilazwa KCMC mwezi uliopita. Bwana ametoa na Bwana ametwaa Jina la Bwana Libarikiwe.
Tusimsingizie Mungu mambo ya kipumbavu.
Huyu hajatwaliwa Na BWANA, ametwaliwa Na risasi.
Bwana alitoa, risasi imetwaa.
Huyu moja kwa moja anaenda shimo la tewa
 
Tusimsingizie Mungu mambo ya kipumbavu.
Huyu hajatwaliwa Na BWANA, ametwaliwa Na risasi.
Bwana alitoa, risasi imetwaa.
Huyu moja kwa moja anaenda shimo la tewa
babu mbona unazeeka vibaya,risasi haitwai hiyo ni sababu tu hata ukifa kwa kujipiga kidole kwa Mungu ndio njia yetu.
 
Tusimsingizie Mungu mambo ya kipumbavu.
Huyu hajatwaliwa Na BWANA, ametwaliwa Na risasi.
Bwana alitoa, risasi imetwaa.
Huyu moja kwa moja anaenda shimo la tewa
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
JAMAA WANATOAGA
HABARI ZA VIFO AMBAZO HAZIJITOSHELEZI UTAFIKIRI WOTE TUNAMJUA HUYO MZEE
 
Back
Top Bottom