Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,551
- 2,153
- Thread starter
- #21
Chadema
Hhhhhhhh duh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hhhhhhhh duh
Kama ulikulia Nje ya Miji hiyo miwili pita hivi ~~~~~>>>>>JAMAA WANATOAGA
HABARI ZA VIFO AMBAZO HAZIJITOSHELEZI UTAFIKIRI WOTE TUNAMJUA HUYO MZEE
Please Tumeandikiwa tusihukumuTusimsingizie Mungu mambo ya kipumbavu.
Huyu hajatwaliwa Na BWANA, ametwaliwa Na risasi.
Bwana alitoa, risasi imetwaa.
Huyu moja kwa moja anaenda shimo la tewa
Mateso ya muda mrefu Mungu atuepushie mbaliInakera sana...kajipiga risasi?
Huyu Karembu wa Mbeya ni Mkikuyu mhamiaji,Mbeya kuna Wakikuyu wengiHuyu Mzee ni kama waliokuwa Marhum Sisco Mtiro-Dar, Chalamila-Iringa, Mzee Ndesa-Moshi, Mwanda-Arusha,Mzee Shinyanga-Mwanza namalizia na Mzee Karembu Mbeya
pls tag waliouliza
Akikujibu usini-tag!Wajipiga vipi kidole na wapi.
Ukijibiwa ni-tag please
Huyu Mzee ni kama waliokuwa Marhum Sisco Mtiro-Dar, Chalamila-Iringa, Mzee Ndesa-Moshi, Mwanda-Arusha,Mzee Shinyanga-Mwanza namalizia na Mzee Karembu Mbeya
pls tag waliouliza
Palm court hotel TaAngekuwa wa viwango Hivyo hata mie ningemjua Au ndio alikuwa na Newcastle Hotel???
Ni mmoja wa wazee wa Kichagga walio wekeza Tanga kwa miaka mingi, mwingine ni Marupa.Sorry,
Ni nani hasa huyu Mzee?
Nawapa Pole nyingi watu WA kwa mandara. Tuko pamoja. Mungu awatie nguvu wakati huu mgumuKwa maskitiko makubwa nimepokea taarifa ya kufariki kwa Mzee wetu Maarufu sana kwa Miji ya Moshi na Tanga miaka ya 1960es mpaka 1990es kwa biashara mbali mbali kilichotokea leo nyumbani kwake kwa kinachosadikika kuijua kwa kujipiga Risasi mchana huu. Mzee Gabriel Mandara alikuwa anasumbuliwa na maumivu ya miguu ambayo ilipelekea kulazwa mara kwa mara na mara ya mwisho alilazwa KCMC mwezi uliopita. Bwana ametoa na Bwana ametwaa Jina la Bwana Libarikiwe.
Mkuu hilo jina sijawahi lisikia jambo niko kanda hiyo,alikua anaishi moshi mjiniHuyu Mzee ni kama waliokuwa Marhum Sisco Mtiro-Dar, Chalamila-Iringa, Mzee Ndesa-Moshi, Mwanda-Arusha,Mzee Shinyanga-Mwanza namalizia na Mzee Karembu Mbeya
pls tag waliouliza
Bombo area TangaMkuu hilo jina sijawahi lisikia jambo niko kanda hiyo,alikua anaishi moshi mjini
Tanga moja huyoBombo area Tanga