TANZIA Mzee Gabriel Mandara afariki

TANZIA Mzee Gabriel Mandara afariki

Huyu Mzee ni kama waliokuwa Marhum Sisco Mtiro-Dar, Chalamila-Iringa, Mzee Ndesa-Moshi, Mwanda-Arusha,Mzee Shinyanga-Mwanza namalizia na Mzee Karembu Mbeya

pls tag waliouliza
Huyu Karembu wa Mbeya ni Mkikuyu mhamiaji,Mbeya kuna Wakikuyu wengi
 
Huyu Mzee ni kama waliokuwa Marhum Sisco Mtiro-Dar, Chalamila-Iringa, Mzee Ndesa-Moshi, Mwanda-Arusha,Mzee Shinyanga-Mwanza namalizia na Mzee Karembu Mbeya

pls tag waliouliza

Angekuwa wa viwango Hivyo hata mie ningemjua Au ndio alikuwa na Newcastle Hotel???
 
Kwa maskitiko makubwa nimepokea taarifa ya kufariki kwa Mzee wetu Maarufu sana kwa Miji ya Moshi na Tanga miaka ya 1960es mpaka 1990es kwa biashara mbali mbali kilichotokea leo nyumbani kwake kwa kinachosadikika kuijua kwa kujipiga Risasi mchana huu. Mzee Gabriel Mandara alikuwa anasumbuliwa na maumivu ya miguu ambayo ilipelekea kulazwa mara kwa mara na mara ya mwisho alilazwa KCMC mwezi uliopita. Bwana ametoa na Bwana ametwaa Jina la Bwana Libarikiwe.
Nawapa Pole nyingi watu WA kwa mandara. Tuko pamoja. Mungu awatie nguvu wakati huu mgumu
 
Huyu Mzee ni kama waliokuwa Marhum Sisco Mtiro-Dar, Chalamila-Iringa, Mzee Ndesa-Moshi, Mwanda-Arusha,Mzee Shinyanga-Mwanza namalizia na Mzee Karembu Mbeya

pls tag waliouliza
Mkuu hilo jina sijawahi lisikia jambo niko kanda hiyo,alikua anaishi moshi mjini
 
  • Thanks
Reactions: Mj1
Back
Top Bottom