Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,551
- 2,153
- Thread starter
-
- #41
Yes ila Mbeya ni maarufu toka zamani.Huyu Karembu wa Mbeya ni Mkikuyu mhamiaji,Mbeya kuna Wakikuyu wengi
Yes alikuwa Mkaazi wa Moshi. Refer ile miaka niliyoweka mwanzo.Mkuu hilo jina sijawahi lisikia jambo niko kanda hiyo,alikua anaishi moshi mjini
Hivi mzee marupa yupo jamani?Ni mmoja wa wazee wa Kichagga walio wekeza Tanga kwa miaka mingi, mwingine ni Marupa.
Hivi mzee marupa yupo jamani?
Duh siku nyingi sana sijamsikia huyu mtu!
Asante na kunikumbusha mbali!
Reginald, Grace, Charles watoto wake!
Umemsahau Bonny Marupa RIPHivi mzee marupa yupo jamani?
Duh siku nyingi sana sijamsikia huyu mtu!
Asante na kunikumbusha mbali!
Reginald, Grace, Charles watoto wake!
Iauma sana........ Amevumilia for all the 84 years.....why leo? (Noone knows). Ulale Vema MzeeTusimsingizie Mungu mambo ya kipumbavu.
Huyu hajatwaliwa Na BWANA, ametwaliwa Na risasi.
Bwana alitoa, risasi imetwaa.
Huyu moja kwa moja anaenda shimo la tewa
Kwa Moshi ni Sango.Mkuu hilo jina sijawahi lisikia jambo niko kanda hiyo,alikua anaishi moshi mjini