Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Habari zinasambaa mtandaoni kuwa Mzee Ibrahim Kaduma amefsriki huko India alikokwenda kwa matibabu.
Mzee Kaduma alikuwa a staunch supporter wa Mwalimu Nyerere.
Mimi nimemfahamu alipokuwa Vice Chsncellor wa UDSM.
Baadaye akawa Foreign Minister akiendeleza Liberation Policy ya miaka hiyo.
Hivi miaka ya karibuni alizamia katika dini na imani ya Neno la Mungu kupitia KKKT.
Rest in peace Mzee Ibrahim Kaduma.
Mzee Kaduma alikuwa a staunch supporter wa Mwalimu Nyerere.
Mimi nimemfahamu alipokuwa Vice Chsncellor wa UDSM.
Baadaye akawa Foreign Minister akiendeleza Liberation Policy ya miaka hiyo.
Hivi miaka ya karibuni alizamia katika dini na imani ya Neno la Mungu kupitia KKKT.
Rest in peace Mzee Ibrahim Kaduma.