Mzee Jakaya Kikwete nakusalimia. Je, hapo vipi?

Mzee Jakaya Kikwete nakusalimia. Je, hapo vipi?

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Leo namsalimi Mzee Kikwete baba wa Democrasia alie kubali yote ukimuona dhaifu poa ukimuona fisadi poa Yani mambo poa.
Ukimsema jukwaani anatafuta jukwaa na yeye anakuwa za uso🤭

Leo namuuliza Mzee wangu mambo vipi? Kama nakuona kila ukiangalia taarifa ya Habari na mitandao unaona kama huwelewi hivi nakuingia vyumba vya ibada na kusali.

Mzee Kikwete wema wamekufa na wachache mlio Baki kazi mnayo Kuna siku mtasema na sisi tungetangulia kuliko kuona Yale mtayaona ila bado muda mnao nawaona wakuu wamajeshi wa staafu, nawaona wakuu wa idara nyeti na Mawaziri wakuu wastaafu ambao mkikaa na kushirikiana mtaliokoa hili Taifa.

Unaweza sema wewe kijana mdogo una nishauri Nini mm nasema ewala Mzee wangu ila game ya utawala wa Taifa hili msipo fumua hii katiba basi kizazi kijacho kazi ipo. Mwalimu akaja nakitabu kinasema Tujisahihishe. Mwisho wakunukuu.
Mzee wangu huku kwenye chungu anayejuwa siri yake ni kata ila hata hiyo Kata uwenda ikayeyuka kwa moto unawaka kwenye chungu sijuwi mtachota na nn haya maji. Happy new year Sir.
 
Uwe unafanya proof reading kabla ya ku-post kitu! Huwa unachapia sana na hii inaonyesha wewe ni mrugaruga sana!
 
Leo namsalimi Mzee Kikwete baba wa Democrasia alie kubali yote ukimuona dhaifu poa ukimuona fisadi poa Yani mambo poa.
Ukimsema jukwaani anatafuta jukwaa na yeye anakuwa za uso🤭

Leo namuuliza Mzee wangu mambo vipi? Kama nakuona kila ukiangalia taarifa ya Habari na mitandao unaona kama huwelewi hivi nakuingia vyumba vya ibada na kusali.

Mzee Kikwete wema wamekufa na wachache mlio Baki kazi mnayo Kuna siku mtasema na sisi tungetangulia kuliko kuona Yale mtayaona ila bado muda mnao nawaona wakuu wamajeshi wa staafu, nawaona wakuu wa idara nyeti na Mawaziri wakuu wastaafu ambao mkikaa na kushirikiana mtaliokoa hili Taifa.

Unaweza sema wewe kijana mdogo una nishauri Nini mm nasema ewala Mzee wangu ila game ya utawala wa Taifa hili msipo fumua hii katiba basi kizazi kijacho kazi ipo. Mwalimu akaja nakitabu kinasema Tujisahihishe. Mwisho wakunukuu.
Mzee wangu huku kwenye chungu anayejuwa siri yake ni kata ila hata hiyo Kata uwenda ikayeyuka kwa moto unawaka kwenye chungu sijuwi mtachota na nn haya maji. Happy new year Sir.
Kwa nini usisubiri pombe iishe kichwani ndio uanze kuandika humu JF?
 
Ana nafasi ya kusahihisha makosa ya kimfumo yaliyogharimu Taifa Hili huko nyuma!

Lakini akiwekeza nguvu ZAKE pekee kwenye hatma ya ukoo wake kushika hatamu ya nchi hii badala ya mfumo mbovu uliopo atalia akiwa kaburini!

Mungu amemuweka Hadi Sasa arekebishe penye nyufa ILI ukuta imara usimame KWA ajili ya mstakabali wa Taifa Hili!

Aaache Mahaba ya ukoo,uswahiba na undugu kushika hatamu coz alivochuma vinatosha kula vitukuu na vilembwe!

Mungu ampe Maisha marefu YENYE faida KWA Taifa

Pia

Mungu IBARIKI TANZANIA NCHI yetu tuipendayo Sana
 
Back
Top Bottom