Wataje wenzioKwanini mzee jangala pekee yake na sio wazee wote 🤔 Au unafikiri hapa tanzania sector ya Utamaduni na sanaa ndo imegusa zaidi jamii?
Kuna watu wapo hapa kupinga tu hata kitu kikiwa kipo wazi.Wataje wenzio
Ipo haja kuwepo SheriaSio yeye peke yake, akina Abdallah Kibaden, King Kikii Muimbaji, Ahmed Kipozi Mtangazaji(If he still alive)....na wengine wengi
Isije kuwa kama King Majuto aliyekuwa anamlilia Rais njaa
Hii nchi huwa inawajali tu Wanajeshi Wastaafu kada zingine hapana
Shughulisha komwe hilo DadaHuyu Mzee mbona nilisikiaga tetesi kuwa aliisha tangulia?.
Nakumbuka miaka ileeeeee…. RTD idhaa ya Biashara, zile siku za kipindi cha "MCHEZO WA RADIO", mdhamini pombe ya CHIBUKU, watu wanaizunguka Radio, kusikiliza hayo maigizo.1. Msanii maarufu wa Sanaa za Maonyesho, almaarufu Mzee Jangala apewe heshima yake kabla ya umauti.
2. Miaka ya 1990 Mzee Jangala ametikisa sana RTD.
NB: Aenziwe na kupata stahiki zote - ikiwemo BIMA ya afya akiwa hai. Tusisubiri yamkute ya King Majuto.
View attachment 3069364
Wewe utakuwa mjamzitoKwanini mzee jangala pekee yake na sio wazee wote 🤔 Au unafikiri hapa tanzania sector ya Utamaduni na sanaa ndo imegusa zaidi jamii?
Matuga alikuaga Ni Nani Mkuu? Nimesahau nafasi take katika igizoNakumbuka miaka ileeeeee…. RTD idhaa ya Biashara, zile siku za kipindi cha "MCHEZO WA RADIO", mdhamini pombe ya CHIBUKU, watu wanaizunguka Radio, kusikiliza hayo maigizo.
Kwangu mimi, mchezo wangu uliokuwa ndiyo ni the best, ni ule ulioitwa "NIACHIENI MWENYEWE"! Mtoto wake, aitwaye MSHAMU (yeye alikuwa anamuita "NSAMU")alikuwa hataki shule, akajiunga na kundi la vibaka akina Coster. Mzee aliuza mpaka shamba, ambalo mkewe alipinga sana, ili asome shule nzuri, Mzee kila akiambiwa tabia ya mtoto wake, anawaambia NIACHIENI MWENYEWE! Ikafika siku, akaja kukabwa yeye mwenyewe, kuporwa, na kupigwa!
Walikuwa wanafurahisha sana, akiwa na wenzie, akina GONGA, IGUNANILO, KARUMEKENGE nk.
Huyu mzee alitufurahisha enzi zetu wakati huo hakuna tv wala kitu kingine cha kuburudisha.1. Msanii maarufu wa Sanaa za Maonyesho, almaarufu Mzee Jangala apewe heshima yake kabla ya umauti.
2. Miaka ya 1990 Mzee Jangala ametikisa sana RTD.
NB: Aenziwe na kupata stahiki zote - ikiwemo BIMA ya afya akiwa hai. Tusisubiri yamkute ya King Majuto.
View attachment 3069364
Huyu alikuwa RTD IDHAA YA TAIFA. Huko kulikuwa na akina Mzee Jongo, Mama Haambiliki nk.Matuga alikuaga Ni Nani Mkuu? Nimesahau nafasi take katika igizo
We unaonekana k haina trade wahuni wamekaza mpaka trade zimeisha sahv haifungi tenaWewe utakuwa mjamzito
Mimba ya miezi mingapi?We unaonekana k haina trade wahuni wamekaza mpaka trade zimeisha sahv haifungi tena
Pacha wake Mundu yuko wapi?1. Msanii maarufu wa Sanaa za Maonyesho, almaarufu Mzee Jangala apewe heshima yake kabla ya umauti.
2. Miaka ya 1990 Mzee Jangala ametikisa sana RTD.
NB: Aenziwe na kupata stahiki zote - ikiwemo BIMA ya afya akiwa hai. Tusisubiri yamkute ya King Majuto.
View attachment 3069364