Mzee Jangala aenziwe akiwa hai

Mzee Jangala aenziwe akiwa hai

Sio yeye peke yake, akina Abdallah Kibaden, King Kikii Muimbaji, Ahmed Kipozi Mtangazaji(If he still alive)....na wengine wengi

Isije kuwa kama King Majuto aliyekuwa anamlilia Rais njaa

Hii nchi huwa inawajali tu Wanajeshi Wastaafu kada zingine hapana
Usisahau na wagosi wa kaya,hawakosi 70 wale
 
1. Msanii maarufu wa Sanaa za Maonyesho, almaarufu Mzee Jangala apewe heshima yake kabla ya umauti.

2. Miaka ya 1990 Mzee Jangala ametikisa sana RTD.

NB: Aenziwe na kupata stahiki zote - ikiwemo BIMA ya afya akiwa hai. Tusisubiri yamkute ya King Majuto.
View attachment 3069364
Ndo nani huyu jamaa?
 
Nakumbuka miaka ileeeeee…. RTD idhaa ya Biashara, zile siku za kipindi cha "MCHEZO WA RADIO", mdhamini pombe ya CHIBUKU, watu wanaizunguka Radio, kusikiliza hayo maigizo.
Kwangu mimi, mchezo wangu uliokuwa ndiyo ni the best, ni ule ulioitwa "NIACHIENI MWENYEWE"! Mtoto wake, aitwaye MSHAMU (yeye alikuwa anamuita "NSAMU")alikuwa hataki shule, akajiunga na kundi la vibaka akina Coster. Mzee aliuza mpaka shamba, ambalo mkewe alipinga sana, ili asome shule nzuri, Mzee kila akiambiwa tabia ya mtoto wake, anawaambia NIACHIENI MWENYEWE! Ikafika siku, akaja kukabwa yeye mwenyewe, kuporwa, na kupigwa!
Walikuwa wanafurahisha sana, akiwa na wenzie, akina GONGA, IGUNANILO, KARUMEKENGE nk.
Kumbe na wewe ni mhenga 😂
 
Huyu mzee alitufurahisha enzi zetu wakati huo hakuna tv wala kitu kingine cha kuburudisha.
Nafurahi bado yupo hai hivyo hata RTD wenyewe wafanye kila kitu ili mzee Jangala apate heshima zote.
Lala salama dada yetu Niah
 
Nakumbuka miaka ileeeeee…. RTD idhaa ya Biashara, zile siku za kipindi cha "MCHEZO WA RADIO", mdhamini pombe ya CHIBUKU, watu wanaizunguka Radio, kusikiliza hayo maigizo.
Kwangu mimi, mchezo wangu uliokuwa ndiyo ni the best, ni ule ulioitwa "NIACHIENI MWENYEWE"! Mtoto wake, aitwaye MSHAMU (yeye alikuwa anamuita "NSAMU")alikuwa hataki shule, akajiunga na kundi la vibaka akina Coster. Mzee aliuza mpaka shamba, ambalo mkewe alipinga sana, ili asome shule nzuri, Mzee kila akiambiwa tabia ya mtoto wake, anawaambia NIACHIENI MWENYEWE! Ikafika siku, akaja kukabwa yeye mwenyewe, kuporwa, na kupigwa!
Walikuwa wanafurahisha sana, akiwa na wenzie, akina GONGA, IGUNANILO, KARUMEKENGE nk.
Heshima kwako, nimesikiliza sana RTD na mama na mwana
 
1. Msanii maarufu wa Sanaa za Maonyesho, almaarufu Mzee Jangala apewe heshima yake kabla ya umauti.

2. Miaka ya 1990 Mzee Jangala ametikisa sana RTD.

NB: Aenziwe na kupata stahiki zote - ikiwemo BIMA ya afya akiwa hai. Tusisubiri yamkute ya King Majuto.
View attachment 3069364
Sasa kama bima ya afya hakuitafuta akiwa na nguvu, wengine wataitoa wapi ya kumpatia bure? Hebu tuwe serious kidogo na maisha.
 
Back
Top Bottom