Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usisahau na wagosi wa kaya,hawakosi 70 waleSio yeye peke yake, akina Abdallah Kibaden, King Kikii Muimbaji, Ahmed Kipozi Mtangazaji(If he still alive)....na wengine wengi
Isije kuwa kama King Majuto aliyekuwa anamlilia Rais njaa
Hii nchi huwa inawajali tu Wanajeshi Wastaafu kada zingine hapana
Ndo nani huyu jamaa?1. Msanii maarufu wa Sanaa za Maonyesho, almaarufu Mzee Jangala apewe heshima yake kabla ya umauti.
2. Miaka ya 1990 Mzee Jangala ametikisa sana RTD.
NB: Aenziwe na kupata stahiki zote - ikiwemo BIMA ya afya akiwa hai. Tusisubiri yamkute ya King Majuto.
View attachment 3069364
Aisee ilokua Noma sanaUle wimbo wa Chibuku hoyeee hongera hongera hongeraaaa 🎤🎻🎺🎷🎸🥁
Dah 😭😭Huyu mzee alitufurahisha enzi zetu wakati huo hakuna tv wala kitu kingine cha kuburudisha.
Nafurahi bado yupo hai hivyo hata RTD wenyewe wafanye kila kitu ili mzee Jangala apate heshima zote.
Kumbe na wewe ni mhenga 😂Nakumbuka miaka ileeeeee…. RTD idhaa ya Biashara, zile siku za kipindi cha "MCHEZO WA RADIO", mdhamini pombe ya CHIBUKU, watu wanaizunguka Radio, kusikiliza hayo maigizo.
Kwangu mimi, mchezo wangu uliokuwa ndiyo ni the best, ni ule ulioitwa "NIACHIENI MWENYEWE"! Mtoto wake, aitwaye MSHAMU (yeye alikuwa anamuita "NSAMU")alikuwa hataki shule, akajiunga na kundi la vibaka akina Coster. Mzee aliuza mpaka shamba, ambalo mkewe alipinga sana, ili asome shule nzuri, Mzee kila akiambiwa tabia ya mtoto wake, anawaambia NIACHIENI MWENYEWE! Ikafika siku, akaja kukabwa yeye mwenyewe, kuporwa, na kupigwa!
Walikuwa wanafurahisha sana, akiwa na wenzie, akina GONGA, IGUNANILO, KARUMEKENGE nk.
Lala salama dada yetu NiahHuyu mzee alitufurahisha enzi zetu wakati huo hakuna tv wala kitu kingine cha kuburudisha.
Nafurahi bado yupo hai hivyo hata RTD wenyewe wafanye kila kitu ili mzee Jangala apate heshima zote.
Sasa si umpigie umuulize mwenyewe,maana bado anasikika tbc kila jmosi na jpili.Huyu Mzee mbona nilisikiaga tetesi kuwa aliisha tangulia?.
Heshima kwako, nimesikiliza sana RTD na mama na mwanaNakumbuka miaka ileeeeee…. RTD idhaa ya Biashara, zile siku za kipindi cha "MCHEZO WA RADIO", mdhamini pombe ya CHIBUKU, watu wanaizunguka Radio, kusikiliza hayo maigizo.
Kwangu mimi, mchezo wangu uliokuwa ndiyo ni the best, ni ule ulioitwa "NIACHIENI MWENYEWE"! Mtoto wake, aitwaye MSHAMU (yeye alikuwa anamuita "NSAMU")alikuwa hataki shule, akajiunga na kundi la vibaka akina Coster. Mzee aliuza mpaka shamba, ambalo mkewe alipinga sana, ili asome shule nzuri, Mzee kila akiambiwa tabia ya mtoto wake, anawaambia NIACHIENI MWENYEWE! Ikafika siku, akaja kukabwa yeye mwenyewe, kuporwa, na kupigwa!
Walikuwa wanafurahisha sana, akiwa na wenzie, akina GONGA, IGUNANILO, KARUMEKENGE nk.
Sasa kama bima ya afya hakuitafuta akiwa na nguvu, wengine wataitoa wapi ya kumpatia bure? Hebu tuwe serious kidogo na maisha.1. Msanii maarufu wa Sanaa za Maonyesho, almaarufu Mzee Jangala apewe heshima yake kabla ya umauti.
2. Miaka ya 1990 Mzee Jangala ametikisa sana RTD.
NB: Aenziwe na kupata stahiki zote - ikiwemo BIMA ya afya akiwa hai. Tusisubiri yamkute ya King Majuto.
View attachment 3069364