TANZIA Mzee Kambaulaya afariki dunia

TANZIA Mzee Kambaulaya afariki dunia

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Mmoja wa Wasanii maarufu ambaye pia ni Mwanahabari mkongwe, Barnabas Maro maarufu kama Mzee Kambaulaya au Baba Bishanga amefariki dunia

Mzee Kambaulaya amefariki Januari 4 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa akipatiwa matibabu

kambaulaya.jpg


#JamiiForums
 
Mmoja wa Wasanii maarufu ambaye pia ni Mwanahabari mkongwe, Barnabas Maro maarufu kama Mzee Kambaulaya au Baba Bishanga amefariki dunia

Mzee Kambaulaya amefariki Januari 4 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa akipatiwa matibabu

#JamiiForums
Hamna picha?
 
Back
Top Bottom