Mzee Kikwete: CCM ya sasa ukimtambulisha kiongozi wa Upinzani anaonekana Adui, nilimpigia kampeni Dr Ndugulile WHO, Ummy naye alifanya Kazi Kubwa!

Mzee Kikwete: CCM ya sasa ukimtambulisha kiongozi wa Upinzani anaonekana Adui, nilimpigia kampeni Dr Ndugulile WHO, Ummy naye alifanya Kazi Kubwa!

Akiwa msibani kwa Faustine Ndugulile Rais mstaafu Dr Kikwete amesema kwa CCM ya sasa kumtambulisha kiongozi wa Upinzani hadharani unaonekana Adui yaani Kirusi.

Kikwete amesema hayo wakati akimtambulisha mbunge wa Viti Maalum Halima Mdee (Chadema)

Aidha Kikwete amesema baba yake Faustine yaani hayati Mzee Ndugulile alikuwa ni Rafiki yake na wamefanya Kazi pamoja Wizara ya Mambo ya nje.

Kikwete amesema alishiriki kumfanyia kampeni za WHO marehemu Faustine kwa kuongea na Viongozi mbalimbali wa Africa nao walikubali kutuunga mkono hata Senegal alipiga Simu kwa Waziri Mkuu naye akakubali Moja kwa Moja kuunga mkono Tanzania.

Pia Ummy Mwalimu alifanya Kazi Kubwa sana kuhakikisha Faustine anashinda.

Nawatakieni Dominica NJEMA 🌹
Kikwete ni MZALENDO na muungwana sana.....basi tu.....yahitaji UFAHAMU,,,,,,,,,,
 
Ethnic networks, ukiona kobe juu ya mti ujue kapandishwa. Watoto wa kapuku's watasota sana aisee! That's the fact
Na makapuku ubinafsi ndo tatizo, kama kuna aliefanikiwa kwenye familia basi atataka nyote mfate matakwa yake na sio kutimiza ndoto zenu.
 
Ndio nilichosema, kwani napi ana nini cha maana hadi kuwa katika top levels za maamuzi ya nchi zaidi ya kuwa baba yake yupo kwenye network? Watu wanatambulishana baba yake nilifanya naye kazi, nilisoma naye, nilikuwa naye JKT, au JWTZ tukiwa maafisa wadogo, ninasali naye, alinipokea wkt naanza kazi, alinipa nyumba ya kupanga bure, alikuwa ananipa lift wakati naanza maisho so nampambania mwanae. Kumbuka huyuhuyu Jk alisema Manji alikabidhiwa na baba yake na anapokuja US anafikia kwa baba yake, so ujue ukwasi wa manji ulioteketezwa na jiwe pia ulitokana na network then yeye na makamba wakasema baba yake napi alimkabidhi yeye na makambaz. So its ethnic network inafanya kazi kula mafao ya nchi. Wewe na maarifa yako kaanzishe shamba au genge la mbogamboga kule, wafanya maamuzi ni wenye surname za mongela, kikwete, mkapa, msuya, natepe, marwa, mboma, pinda, msekwa nk, pia maofisini kote uliza wakurugenzi na wakubwa wote ni nani ndo utajua
Moyo wangu umelilia ndani Kwa kauli yako mkuu
 
Kama bwana mdogo unakumbuka vyema, CCM walikua hawawezi kuvaa sare za chama Chao sio kutokana na kuchukiwa na CHADEMA. Nasema hivi nikikumbusha kwamba Mimi sio mwanachama wa CHADEMA na sijawahi kuwa.
Sababu kubwa ilikua ni kushiriki, kulea na kuishi maisha ya kifisadi kama Ndio order of the day..
Transparency and good governance aliyoishamirisha JK iliweka bayana uzembe na uchafu wa uongozi wa CCM. Kulikua na mijdala huru kuanzia kwenye media, mtaani na kwenye majukwaa ya kisiasa ambayo iliwaweka uchi kiasi kwamba mliona aibu! Kilichokosekana kwa kiasi kikubwa ni accountability and rule of law Kwa kiwango kikubwa.
Watu wa CCM wamekuwa na ujasiri wa kuvaa sare hadharani bada ya Magufuli kuleta aina mpya ya utawala ambao ni undefined na akaamua kufanya "impunity". Kwamba yeyote anayekosoa Ccm alionekana ni adui wa taifa, hivyo mbeleko ya Dola ikiwemo kuwazuilia na kutishia maisha ya walosoaji ikatoa ujasiri huo. Ikiwa una ushahidi wankurushiwa makopo Kwa sababu tu ya kusimamia maslahi ya wananchi, utawala Bora, Haki, uwajibikaji na utawala wa Sheria basi uwasilishe hapa na nipo tayari kukosolewa.

Sasa kinachofanyika sasa hivi hata kama tutakubaliana na wewe kwamba hiyo Ndio sababu., hakuna ukweli wowote wa wanachama wa CDM kuunsa magenge ya askari wasiovalia sare na wasiofuata utaratibu kuwakamata wakosoaji wake. Na hivyo kuwapa Haki ya kufanya hivyo sasa hivyo.
Hakuna ushahidi wa CHADEMA kuandaa uchaguzi na kutumia Dola kupora na kuuwa wananchi hadharani mbele ya wake na watoto wao hivyo wanastahili hivyo hivi sasa.

Nawasilisha
Sisiem na Interahamwe wana tofauti gani!
 
Sisiem na Interahamwe wana tofauti gani!
Muda na namna wanavyotekeleza majukumu Yao. Lakini pia maeneo wanayopatikana ni nchi mbili tofauti.
Kiuhalisia wanafanana katika malengo Yao. Kumwaga damu kwa sababu ya madaraka kwao ni jambo la kawaida
 
"CCM ya Sasa" yaani hats ye anashangaa hii ya Sasa !!!

Au anamaanisha yeye ni pamoja na wale wazee wasiosikilizwa ndani ya chama hadi nchi haitulii Kila siku tekateka plus sarakasi kibao!!

Hivi wewe unamuamini Kikwete ...!!?
 
Akiwa msibani kwa Faustine Ndugulile Rais mstaafu Dr Kikwete amesema kwa CCM ya sasa kumtambulisha kiongozi wa Upinzani hadharani unaonekana Adui yaani Kirusi.

Kikwete amesema hayo wakati akimtambulisha mbunge wa Viti Maalum Halima Mdee (Chadema)

Aidha Kikwete amesema baba yake Faustine yaani hayati Mzee Ndugulile alikuwa ni Rafiki yake na wamefanya Kazi pamoja Wizara ya Mambo ya nje.

Kikwete amesema alishiriki kumfanyia kampeni za WHO marehemu Faustine kwa kuongea na Viongozi mbalimbali wa Africa nao walikubali kutuunga mkono hata Senegal alipiga Simu kwa Waziri Mkuu naye akakubali Moja kwa Moja kuunga mkono Tanzania.

Pia Ummy Mwalimu alifanya Kazi Kubwa sana kuhakikisha Faustine anashinda.

Nawatakieni Dominica NJEMA 🌹

Kikulacho.....uzuri wazee wa kupindua meza
 
Na chura kaurithi ukatili na utekaji
Si unajuwa mwanamke ukimpa mbili ana multiply, 2 x 2 = 4. Kwa hiyo Samia ame multiply tabia mbovu zote za Magufuli, sijui kwanini anashindwa kuiga na strengths za Magufuli
 
Back
Top Bottom