magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 11,075
- 24,634
Watesi wakw wake walitaka yadumu kwa muda gani?Aliposema “yatapita”, alifahamu ni baada ya muda gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watesi wakw wake walitaka yadumu kwa muda gani?Aliposema “yatapita”, alifahamu ni baada ya muda gani?
Magufuli alipotaka kujipa credit za Mloganzila na terminal II. Hizo porojo atukununua hiyo ni miradi ya JK.Make sense lakini hivo vyote alivofanya una uhakika Gani kua japo mkandarasi na mradi ulianza awamu ya 5 ila plan na mawazo yapo toka awamu ya nne? So maybe Kikwete anatake credit zake kiroho safi tu kama Anko magu alivokua anafanya kipindi cha Uhai wake.
I agree.Magufuli alipotaka kujipa credit za Mloganzila na terminal II. Hizo porojo atukununua hiyo ni miradi ya JK.
Alikadhalika JK hana mkono kwenye chuo cha siasa Pwani, SGR wala JHNPP, manunuzi ya ndege; walau Samia anaweza sema ameimalizia. Lakini JK hana input hapo zaidi ya kujiingiza tu jina lake.
Ana mengi ya kujisifia nayo, ata Kinyerezi power plant it’s a big achievement.I agree.
Imagine kua na Rais ambaye hawezi kusimamia mambo. Anacheka cheka tu na wapiga dili mpaka aibu.Sema mzee wa Msoga I admire you sio we admire you, we wewe na nani? That man is a disgrace to our country. Hii nchi ilipata bahati mbaya sana na hasara kubwa kuongozwa na huyo mzee.
Shida sijawahi kuwa na acc kule ,au tiktokKama unataka kumjua Miraji nenda Instagram tafuta jina Kikwete utampata
Alijua yatapita tu.Kwa nini alimwambia akae kimya tu badala ya kumtetea??
Just swallow it...no matter how bitter it is...Shida ni pale anapojaribu kuelezea hata mobilisation of funds kaanzisha and early project initiatives.
Anyway siwezi kukubishia blind supporter, maana hiyi ni mifano midogo when it comes JK me me me initiatives za nchi hii na mipango ya CCM.
Sidhani kama ata yeye mwenyewe anajisikiliza na kuona the megalomaniac he is.
Kwa audience ya Tanzania sawa ila kama story zake ndio zile akikutana viongozi wa nchi wakitoka hapo, his reputation will be the guy is full of himself and his grandiose.
JK ni narcissistic
Good Morning
Umeongeza ! Neno "kubambikiwa kesi" hata kama alimaanisha lakini mh JK hakutamka kuwa manji alibambikiwa kesi. Sema huo ni uelewa wetu kuwa neno "kuonewa" ilimaanisha kubambikiwa kesi.Jana ilifanyika dua ya kumuombea mfanyabiashara hayati Yusuph Manji katika viwanja vya Karimjee na mmoja wapo ya watu mashuhuri waliokuwepo ni Jakaya Kikwete, Rais mstaafu wa awamu ya nne.
Katika hadhara hiyo, JK akapata wasaa kuongea, anasema kwake yeye Manji alikuwa kama mwanae na alimlea kwani aliachiwa usia na baba yake Manji la jukumu la malezi ya Yusuph.
JK akaongeza zaidi, kuna wakati Yusuph alinipigia(kipindi hiko nimeshatoka madarakani) akawa analalamika kuwa wanamuonea wanambambikia makesi na mambo mengineyo.
Nikamshauri akae kimya kwani nilijua siku moja yatapita tu, Yusuph alikuwa ana urafiki mkubwa sana na mwanangu Miraji.
PIA SOMA
- TANZIA - Yusuf Manji, Mfanyabiashara maarufu aliyewahi kuwa mdhamini wa Yanga SC afariki dunia nchini Marekani
Rekebisha bandiko lako! Kikwete kaanza kuwa Naibu Waziri mwaka 1988 na siyo 1993Huyo alikua Waziri tangu 1993-2005,akawa rais, kabla alikua jeshini,nyuma huko alikua kiongozi wa yanga,akawa kiongozi wa ccm singida,tabora,lindi, Zanzibar,kakutana na wengi maishani na anajua mengi kuhusu nchi yako,tofauti kabisa na mkemia
Ndiooooooooooo tena ndiooooooooooo!!JK ndiyo mzee wetu aliyebakia, hatuwezi kumpinga.
Mzee wa mSOGA, we admire him!
Waziri na naibu Waziri ni vyeo tofauti,mi nimeandika waziri,naibu Waziri haingii kwenye vikao vya Baraza la mawaziriRekebisha bandiko lako! Kikwete kaanza kuwa Naibu Waziri mwaka 1988 na siyo 1993
Alaaa kumbeWote Yusufu na Miraji si walikuwa watu wa sembe
Alfa na Omega Jiwe angewashughulikia woteKwa nini alimwambia akae kimya tu badala ya kumtetea??