FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Ungeanza kuelimika wewe kwanza.Ninafahamu ndiyo maana nakupa elimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungeanza kuelimika wewe kwanza.Ninafahamu ndiyo maana nakupa elimu
Yaani miradi kwa fedha zetu lakini sifa kwa malkia kiboko mpenda-sifa!Rais wa awamu ya 4 mzee Kikwete Leo amesafiri kwa TREN ya SGR kutoka Dar es salaam hadi Morogoro na kusema safari yao wametumia muda wa saa 1 na dakika 49 tu
Mzee Kikwete amesema mradi wa SGR iliasisiwa na hayati Mkapa na ilipofika awamu ya Shujaa Magufuli ndio alianza Kuutekeleza lakini kwa bahati mbaya hakushuhudia matunda ya Juhudi zake
Mzee Kikwete amemshukuru Sana Mpendwa Wetu Mh Rais Samia kwa kuendelea kuukamilisha mradi huu ambapo Kesho Treni ya SGR itatoka DAR ES SALAAM hadi Dodoma ambayo ni mafanikio ya kihistoria
Source: ITV Habari
Kamtaja mkapa ili iwe rahisi yeye kujiingiza hapo, watanzania wanajua hahusiki kwa loloteKuna watu watakasirika kwanini katajwa Mkapa hapa
Kwahiyo alituchelewesha kwa miaka yake kumi, hakufanya lolote mpaka JPMRais wa awamu ya 4 mzee Kikwete Leo amesafiri kwa TREN ya SGR kutoka Dar es salaam hadi Morogoro na kusema safari yao wametumia muda wa saa 1 na dakika 49 tu
Mzee Kikwete amesema mradi wa SGR iliasisiwa na hayati Mkapa na ilipofika awamu ya Shujaa Magufuli ndio alianza Kuutekeleza lakini kwa bahati mbaya hakushuhudia matunda ya Juhudi zake
Mzee Kikwete amemshukuru Sana Mpendwa Wetu Mh Rais Samia kwa kuendelea kuukamilisha mradi huu ambapo Kesho Treni ya SGR itatoka DAR ES SALAAM hadi Dodoma ambayo ni mafanikio ya kihistoria
Source: ITV Habari
Halafu utapata nini? Kwa nini ufurahie kufa kwa binadamu mwenzako?Uyu mzee akifa nitakesha bar nanunulia watu bia
Utatangulia ww trust meUyu mzee akifa nitakesha bar nanunulia watu bia
Hata malaika walifurahi shetani alipofukuzwa mbinguniHalafu utapata nini? Kwa nini ufurahie kufa kwa binadamu mwenzako?
Wazuri hatufi mapemaUtatangulia ww trust me
Ni kwa sababu alikuwa mwovu, huyu amekutenda nini hadi ufurahie kifo chake?Hata malaika walifurahi shetani alipofukuzwa mbinguni
Uyu mzee akifa nitakesha bar nanunulia watu bia
Na mkifa hamuozi..mkioza hamnuki. Mkinuka, mnanukia perfume🤣🤣🤣🤣Wazuri hatufi mapema
..Na mashirika yalianza kuuzwa wakati wa Mzee Mwinyi.
..kipindi cha Mzee Mwinyi mashirika ya Bia, na Sigara, yalikuwa ya kwanzakwanza kuuzwa.
..pia TRA iliundwa wakati wa Mzee Mwinyi kutokana na kazi na mapendekezo ya Tume ya Edwin Mtei.
Kuna watu watakasirika kwanini katajwa Mkapa hapa
..kuna UPIGAJI mkubwa na UCHELEWESHAJI katika mradi SGR.
Walidhani wazo lilitoka kwa Mwendazake kumbe tangia "Nzee Nkapa".
Sema Jiwe alithubutu kuianza SGR na Stegolaz(JNHPP). watangulizi wenzake walishindwa.
Ukiondoa ishu ya EPA na kuuza mashirika ya umma kwa bei chee.
Hakuna rais bora ktk nchi yetu kama Mkapa
Aseme aliyofanikisha yeye, asitake ujiko.. atatambuliwa aliyethubutu na kufanya.. ye atakumbukwa kwa aliyoyafanya pia.
Asante. Ila Mzee Mkapa personalized the whole process of public companies restructuring. His good friend, Andy Chande, gave away most of the companies to his friends, who in turn, did not do anything to make the companies functioning.