Mzee Kikwete: SGR iliasisiwa na Hayati Mkapa na Mimi wakati namkabidhi Madaraka hayati Magufuli nilimsihi aanze Utekelezaji wa mradi!

Miswada ya dharura aliyopeleka bungeni kuhusu gas ilihusu nini, na kwanini wasomi wengi waliipigia kelele
 
Huu mradi wa SGR baada ya miezi sita tu chali. Hao hao wakina kikwete wanaomiliki makampuni ya usafirishaji ndio watakao kuwa mstali wa mbele kuihujumu, raisi Samia aangalie asiwachekee hata kidogo
Humo kwenye SGR amesafiri ili atengeneze mbinu za kuidhoofisha
 
Miswada ya dharura aliyopeleka bungeni kuhusu gas ilihusu nini, na kwanini wasomi wengi waliipigia kelele
Wasomi gani waliopinga zaidi ya Zitto Kabwe (ambae clue less) aliekuwa anapiga makelele kwa mshiko wa wazungu kuishinikiza serikali.

Na humu JF watu kama BAK na sasa hivi sampuli ya watu kama ChoiceVariable ndio wanaolazimisha hiyo miradi.

Wasomi gani wewe unaowajua waliopiga kelele zaidi ya wabunge wa CDM, chawa wa marehemu Mzee Mengi na wahuni wa JF wanaojua kusukuma upepo.

Jumlisha na tabia zetu watanzania kuwaamini watu wasio na nitty gritty knowledge ya maswala ya investment.

Mtu kama Zitto anaweza kuja hapa na kuandika upupu wake asilimia 90 ya members wakazani kaongea mambo ya maana.

Akija mtu ku counter argue hoja za Zitto ata kana argument zake zina merit, kwa sababu hana jina kwenye jamii yetu basi anaonekana mpuuzi tu mwingine.

Ndio shida ya jamii yetu, sheria za hati ya dharura za Dr Muhongo ilikuwa kulinda nchi. Mengine ni ujinga tu wapuuzi.

Ngoja niende ni Google kukuletea response ya wazungu walivyokuwa hawazitaki zile sheria za hati ya dharura na kusema haziwahusu makampuni yenye vitalu tayari.

Halafu huku sisi wananchi sheria hizo hizo tunamshutumia nazo JK na Muhongo kuuza nchi.

Salaleh mtihani kweli kuongoza Tanzania
 
Mtajuana wenyewe kama vipi uaneni tuu 🤣🤣
 
Huyu mzee ni tapeli haswa
 
Huyu mzee ana matatizo makubwa. Atulie ale Pensheni.
Yeye miaka 10 alishindwa hata kuanza mchakato wowote
 
Mzee Kikwete amesema mradi wa SGR iliasisiwa na hayati Mkapa na ilipofika awamu ya Shujaa Magufuli ndio alianza Kuutekeleza lakini kwa bahati mbaya hakushuhudia matunda ya Juhudi zake
Hapo alitaka kusema iliasisiwa na yeye ila akajishtukia akatelezeshea kwa mtangulizi wake kwakuwa hawezi kupinga ametangulia mbele za haki,

Ni kawaida yake kusingizia marehemu kama siku ile ya mazishi ya Mwendazake pale Chato
 
Hakuna raisi bora kuwahi kutokea nchi hii kumzidi kikwete,kwasababu hata uhuru ni yeye ndie alifunga safari hapa mpaka uingereza kuomba uhuru ila ndio hivyo tu mzee ni mwanadiplomasia mno akaamua tu amchomekee nyerere
 
Hakuna raisi bora kuwahi kutokea nchi hii kumzidi kikwete,kwasababu hata uhuru ni yeye ndie alifunga safari hapa mpaka uingereza kuomba uhuru ila ndio hivyo tu mzee ni mwanadiplomasia mno akaamua tu amchomekee nyerere
Hpo unasema uongo. Uhuru wetu haukwenda kudaiwa Uingereza.

Soma kijana, wacha kubadili mada kijinga. Aliyoyafanya Kikwete na anaoendelea kuyafanya Tanzania ni hadithi njema.
 
Ofcoz,wengi wanapenda kuona SAMIA anafeli ili wapate cha kusema na kumwangusha...

Miradi ambayo Magufuli kaanza nayo yeye hajataka kabisa kuisusa na kuanzisha yake,bahati mbaya wao wanataka Credits ziende kwa JPM peke yake na kusahau KAZI HII KUBWA INAYOENDELEA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…