Kikwete kumtaja Mkapa kafanya diplomasia tu kama kawaida yake. Ukweli ni kuwa Kikwete alikuwa tayari kishamaliza mapatano na China na alikuwa anangoja financing tu.
Hata hapa JF liliwahi kuandikwa kuwa mkataba ulikuwa uwe wa 7.4 billion Dollars, alipoingia magufuli akabadili na kuwapa Waturuki, lakini ukweli ni kuwa hata Upembuzi yakinifu ulikuwa tayari umeshafanywa.
Jikumbushe:
Kenya has both narrow and standard gauge railways running in parallel between Mombasa and Nairobi. Tanzania is gearing up to build a standard gauge line to Morogoro and beyond while it goes ahead with rehabilitating the existing metre gauge line. The SGR is portrayed as an ambitious regional...
www.theelephant.info
Kwa maana hiyo hata mradi wa Steiglers gorge ulikuwa tayari ufanywe na Brazil. Mradi wa Magufuli na wa eyapoti ya Chato na Daraja la mwanza kuelekea kwao.