Bado umeshindwa kujiheshimu?
Hapana, huelewi maana ya kuanzishwa, huwezi kuanza kujenga bila ramani. Na ramani huanza na wazo. Kikwete nasema, wazo kipindi cha Mkapam ramani ya kwanza kaichoresha kagame, shirika la Kamarekani. Magufuli kafikish asilimia 30 ya kipande cha Morogoro Dr Morogoro tu, mama samia kakimalizia hicho na kakimalizia kipande kikubwa zaidi cha Moro Dom na kwengine kote kishaanza kwa hatua mbali mbali.
Msijitowe ufahamu, kisa nini cha kujitowa ufahamu? Chuki za kijinga au ubaguzi?
imi binfasi, jibu hija punguwani wahed.
Ndugu tibu Sonoma usije ukafa mapema!Uyu mzee akifa nitakesha bar nanunulia watu bia
Unaota.Dar - Dom- Isaka - Mwanza ni Magufuli
Dom- Isaka - Kigoma ni Samia
Hatuwezi kumsifu aliyeferi kaishia kuchora ramani pekee ilihali kuna aliyefanya ramani iwe kitu halis, kwani ramani inachukua miaka mingapi kuchorwa?Hapana, huelewi maana ya kuanzishwa, huwezi kuanza kujenga bila ramani. Na ramani huanza na wazo. Kikwete nasema, wazo kipindi cha Mkapam ramani ya kwanza kaichoresha kagame, shirika la Kamarekani. Magufuli kafikish asilimia 30 ya kipande cha Morogoro Dr Morogoro tu, mama samia kakimalizia hicho na kakimalizia kipande kikubwa zaidi cha Moro Dom na kwengine kote kishaanza kwa hatua mbali mbali.
Msijitowe ufahamu, kisa nini cha kujitowa ufahamu? Chuki za kijinga au ubaguzi?
imi binfasi, jibu hija punguwani wahed.
Tutegemee nini zaidi kutoka kwa shetani? Kuwa utakaa Msikitini usali na kuomba dua?Uyu mzee akifa nitakesha bar nanunulia watu bia
Jifunze kuandika vizuri kwanza. Sijaiona "feri" kwenye reli.Hatuwezi kumsifu aliyeferi kaishia kuchora ramani pekee ilihali kuna aliyefanya ramani iwe kitu halis, kwani ramani inachukua miaka mingapi kuchorwa?
Upunguwani unao wewe na chuki ni zako wewe
Kama una chuki na JK basi wewe una roho ya Kichawi.Uyu mzee akifa nitakesha bar nanunulia watu bia
Uchawi huuUyu mzee akifa nitakesha bar nanunulia watu bia
Unaota.
Unataka kufahamu mkataba upi umesainiwa lini na nani?Wewe ndiyo unaota maana hata haujui hiyo mikataba imesainiwa lini
Hatuko darasani mkuu, usipaniki, ila elewa hivi, wananchi tunataka kitu halisi na siyo ramani, JPM kawafundisha marais wote na wananchi kwamba, kumbe Tanzania inawezekana kufanya mambo makubwaJifunze kuandika vizuri kwanza. Sijaiona "feri" kwenye reli.
Kitu halisi ndiyo hicho mama Samia anakifanya, au ukisoma huelewi? Una macho lakini hayaoni?Hatuko darasani mkuu, usipaniki, ila elewa hivi, wananchi tunataka kitu halisi na siyo ramani, JPM kawafundisha marais wote na wananchi kwamba, kumbe Tanzania inawezekana kufanya mambo makubwa
UDINI NA UBAGUZI TUH UMEWAJAA,KAZI ANAYOIFANYA PREZOO SAMIA NI KUBWA NA YA KUTUKUKA SANA,DAIMA TUTAKUWA NYUMA YA MAFANIKIO YAKE NA KUJIVUNIA NAYE.Hapana, huelewi maana ya kuanzishwa, huwezi kuanza kujenga bila ramani. Na ramani huanza na wazo. Kikwete nasema, wazo kipindi cha Mkapam ramani ya kwanza kaichoresha kagame, shirika la Kamarekani. Magufuli kafikish asilimia 30 ya kipande cha Morogoro Dr Morogoro tu, mama samia kakimalizia hicho na kakimalizia kipande kikubwa zaidi cha Moro Dom na kwengine kote kishaanza kwa hatua mbali mbali.
Msijitowe ufahamu, kisa nini cha kujitowa ufahamu? Chuki za kijinga au ubaguzi?
Mkwere anatamani leo hii mwaka 2005 urudi tena kimiujiza, anatamani sana awe rais anayesikilizwa kila akiamka asubuhi.Aseme aliyofanikisha yeye, asitake ujiko.. atatambuliwa aliyethubutu na kufanya.. ye atakumbukwa kwa aliyoyafanya pia.
JPM, Mkapa na Kikwete wanatoka vyama tofauti?. Tupunguze kueneza chuki za kitoto.Bado umeshindwa kujiheshimu?
Kwa sababu wewe ulichoandika ndio kujitoa ufahamu, Ramani tangu lini iwe kitu halisi?
Hivi hujui kwamba unaweza kutembea na wazo kwamba, ungetamani ufikie Uprof na bado ukafa usifikie wazo hilo?
Sisi tutakusifu na kukuheshimu pindi wazo litakapoleta uhalisia
Yaani kwa akili yako unataka tusifie ramani? Huo ndo ujinga
Unataka tumsifu aliyeishia kuchora ramani SGR badala ya aliteifanyia kazi ramani? Unajua hiyo ramani ilichorwa miaka mingapi hadi JPM akaja kuwa ndie mwanzilishi wa kuchukua hatua kivitendo kujenga SGR?
Hatuwezi kuwasifu wenye ramani ilihali kunawatu wamejenga, heshima ni kwa wanaojenga? Huwezi itwa baba mwenye ramani badala ya baba mwenye nyumba
Kikwete "kosa" alilofanya ni kijitaja yeye na kumtja Mama Samia Suluhu.UDINI NA UBAGUZI TUH UMEWAJAA,KAZI ANAYOIFANYA PREZOO SAMIA NI KUBWA NA YA KUTUKUKA SANA,DAIMA TUTAKUWA NYUMA YA MAFANIKIO YAKE NA KUJIVUNIA NAYE.
Mashirika mengi yalikufa kwa sababu ya ubinafsi wa waliokuwa wakiyaendesha. Ufisadi na matumizi mabaya ya faida iliyopatikana.kwani uuzwaji wa mashirika ya umma alikosea (Mkapa) wapi? mbona mengi leo yanafanya vizuri sana tu?