FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Bado umeshindwa kujiheshimu?
Hapana, huelewi maana ya kuanzishwa, huwezi kuanza kujenga bila ramani. Na ramani huanza na wazo. Kikwete nasema, wazo kipindi cha Mkapam ramani ya kwanza kaichoresha kagame, shirika la Kamarekani. Magufuli kafikish asilimia 30 ya kipande cha Morogoro Dr Morogoro tu, mama samia kakimalizia hicho na kakimalizia kipande kikubwa zaidi cha Moro Dom na kwengine kote kishaanza kwa hatua mbali mbali.
Msijitowe ufahamu, kisa nini cha kujitowa ufahamu? Chuki za kijinga au ubaguzi?
imi binfasi, jibu hija punguwani wahed.