Mzee Kikwete: Sina undugu na Membe

Mzee Kikwete: Sina undugu na Membe

saidoo25

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2022
Posts
624
Reaction score
1,456
Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete amefafanua ukaribu wake na Mwanasiasa Benard Membe akieleza kuwa hana undugu naye kama ambavyo wengi wanazungumza

CHANZO: Mwanachi Instagram

--
Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete amefafanua ukaribu wake na mwanasiasa Benard Membe akieleza kuwa hana undugu naye kama ambavyo wengi wanazungumza.

Akizungumza leo Oktoba 07, 2022 na Clouds Media Group ikiwa ni siku yake ya kuzaliwa akitimiza miaka 72 Kikwete amesema huwa anashangaa kusikia kwamba Membe ni ndugu yake.

“Huu undugu huwa siuelewi, Membe sio ndugu yangu yeye Mmwera, mie Mkwere sasa undugu huo vipi. Membe nilikuja kufahamiana naye baadaye sana katika harakati za kazi.”
 
Kuna vijana wa upande wa pili wanaturudisha kule kule kwenye siasa za majitaka. Zile siasa za 2008 Lowasa fisadi - 2015 Lowasa sio fisadi, 2012 Kinana Jangili - after 2017 kwenda mahakamani Kinana sio jangili nilikuwa natumia siasa tu.

Hizi siasa zimekuwa zikisababisha watu washindwe kuhoji na kufuatilia mambo ya msingi na badala yake wakae wanajadili kuhusu mtu, watu nk.
Nahisi kwa upande wa siasa Tanzania imelaaniwa ndio maana miaka nenda miaka rudi hali ya siasa ni ile ile hakuna mabadiliko chanya.

Kikwete sasa hivi yuko nje ya mfumo na hana madaraka yoyote, sasa hili swala la yeye na Membe sijui litakuwa na tija au faida gani kwa mustakabali wa nchi yetu.
 
Ukimuoa mmwera wa Lindi na mkaja kuachana, mtoto huchukua jina la ukoo wa mama na kabila lake litakuwa mmwera.

Baba yake Membe fatilia ni nani Kwa Kikwete 😁😁
 
Chadema walituongopea sana
Sasa si bora hata ya hao Chadema! Nyinyi miaka nenda mnawadanganya tu Watanzania wasio na elimu ya uraia! Eti wakichagua upinzani, kutatokea vita!

Halafu mnaenda kuchukua ili muvi ya mauaji ya halaiki ya Rwanda (Hotel Kigali) kama reference, na wenyewe eti wanaamini!
 
Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete amefafanua ukaribu wake na Mwanasiasa Benard Membe akieleza kuwa hana undugu naye kama ambavyo wengi wanazungumza

CHANZO: Mwanachi Instagram

--
Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete amefafanua ukaribu wake na mwanasiasa Benard Membe akieleza kuwa hana undugu naye kama ambavyo wengi wanazungumza.

Akizungumza leo Oktoba 07, 2022 na Clouds Media Group ikiwa ni siku yake ya kuzaliwa akitimiza miaka 72 Kikwete amesema huwa anashangaa kusikia kwamba Membe ni ndugu yake.

“Huu undugu huwa siuelewi, Membe sio ndugu yangu yeye Mmwera, mie Mkwere sasa undugu huo vipi. Membe nilikuja kufahamiana naye baadaye sana katika harakati za kazi.”
Au Membe ndio anaandaliwa 2025?
 
Ametuongopea, labda baba yao angesema hayo
Ukifuata hayoo madam! utakuta hata sisi wote ni wa baba mmoja Adamuuu baasi! km mdingi wake kikwete alichepuka kivyake basi ajijue kivyake ivoivo pia!

hata km ma group ya damu yatafanana hiyo haimuhusu kikwete! kulazimisha undugu!! si unajua wanawake wengi wachawi?? anaweza pigwa miti na me kichawi akapeleka mbegu kuleee!!

wachawi wanagema sana manii za wanaume! wanaweka kwenye vi plastic! then wanajiwekea! kwa muda wao hasa wanaume wenye kismart bora chunguza utaona kitu!...

wengine wanatumwa kufanya hiyo kazi kwa ujira wa kuanzia Million Moja! na guest house zinahusishwa sana!
 
Sasa si bora hata ya hao Chadema! Nyinyi miaka nenda mnawadanganya tubWatanzania wasio na elimu ya uraia! Eti wakichagua upinzani, kutatokea vita!

Halafu mnaenda kuchukua ili muvi ya mauaji ya halaiki ya Rwanda (Hotel Kigali) kama reference, na wenyewe eti wanaamini!
Ila Marehemu Reginald Mengi naye alitumika.kiboya sana kueneza propaganda zile.
 
Back
Top Bottom