Paul sylvester niliyemquote ndiye kasema kwa sasa haki ipo kwa wote. Nilifikiri ungemuuliza yeye imewezekanaje!haki kwa wote unayoitaka utaipata wapi mkuu? amerika kwenyewe ilikoanzishwa mifumo hii ya utawala wa sheria na haki bt bado kuna ujinga mwingi, hapa tunachoangalia ni unafuu wa mambo, mungu mwenyew ambae ni mkamilifu bt bado analaumiwa kwa kuumba tajiri na maskin, vilema, vipofu na nk.. sembuse magu ambae ni binadam? kwa kiasi chake magu kasawazisha mambo.
kwa mtizamo wake huenda yupo sahih coz kila mtu huyatizama mambo katika angle tofauti.Paul sylvester niliyemquote ndiye kasema kwa sasa haki ipo kwa wote. Nilifikiri ungemuuliza yeye imewezekanaje!
Shidaaa mojaaa wanaropoka awafanyi researchMke wa Yoweri Mseveni ni mbunge na waziri bwashee!
Wewe bakia na nongwa zako wengine wanafurahia maisha haya haya mafupi.Palipo na tamaa aibu ujitenga
Nivizuri kuishi maisha ya kawaida ukiwa na heshima yako.Wewe bakia na nongwa zako wengine wanafurahia maisha haya haya mafupi.
Vp na yule Mbeligiji wako anaetaka kuhalalisha Ushoga Tz, tumuweke kwenye kundi gani!?OK naona unatutangazia biashara yako, hongera sana maana biashara ni matangazo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawe jifunze utii ule mema ya nchiAisee! Kuna binadamu wanakula mema ya nchi vizuri sana, kutoka kuwa 'first lady' kwa miaka 10 mpaka mbunge wa kuteuliwa na sasa anachukua Jimbo.
Kila laheri Mama Salma kwenye harakati za kutwaa jimbo.
Aligombea Jimbo gani?Anachokifanya mama Salma kiko sahihi labda tuwape na reference za huko Mamtoni, Hilary Clinton alikuwa First lady wakati wa Utawala wa Mumewe Bill Clinton, Mumewe amekuja kuwa succeeded na Bush JR sasa wakati wa obama tenure huyu mwanamama alirudi tena as Secretary of state na baadae alienda far kwa kuwa Presidential candidate flag bearer wa Democrat ivo alikuwa anaenda kuwa Rais , Mwaka huu Michele Obama aliekuwa First lady ilibaki ivi awe picked up na Jo Bidden as his running mate.
Wewe endelea na kazi yako ya ushoga, hakuna mtu anaye kulaumu.Vp na yule Mbeligiji wako anaetaka kuhalalisha Ushoga Tz, tumuweke kwenye kundi gani!?
Wwe Kati ya Lissu na Magufuli,unamkubali nani awe Raisi wako!?
Naona wewe ni mpumbavuWwe Kati ya Lissu na Magufuli,unamkubali nani awe Raisi wako!?
Jibu swali mbona unaogopa!? Mi jkipaji namkubali Magufuli awe Raisi wa Tanzania kwa miaka mitano mingine, Wwe Je!?
Sina muda wa kujibu sawali la kimbululu kama weweJibu swali mbona unaogopa!? Mi jkipaji namkubali Magufuli awe Raisi wa Tanzania kwa miaka mitano mingine, Wwe Je!?
Basi tufanye na wwe unamkubali Mr Magufuli!! Sema Magufuli OOYEEEEE!! Na usipo sema nitajua na wwe ni walewale mnaotetewa na Lissu awahalalishe rasmi!!
Pumbavu kabisa weweBasi tufanye na wwe unamkubali Mr Magufuli!! Sema Magufuli OOYEEEEE!! Na usipo sema nitajua na wwe ni walewale mnaotetewa na Lissu awahalalishe rasmi!!