Mzee Kilomoni nenda kacheze na vitukuu sasa...

Wanaposema mashabiki wa simba ni mbumbumbu ni kweli kabisa.Manara anawaimbisha taarabu,mo anawaimbisha taarabu,dewji mo nae taarabu kilomoni taarabu.Maneno mengi ya nini?
Simba na jopo la wataalam wote kwa nini hawakueleza yote hayo kuwa miaka mitatu ilopita kilomon alipoteza umiliki wake?

Kwa nini kilomoni asifutwe uanachama kwa kuvuruga timu na mchakato halali wa timu uliokubariwa na wanachama 99%.

subiri kesho kilomoni ajibu mapigo.Hapo tutajua mbivu na mbichi.usije kuanzisha uzi mwingine maana magori kakui.bisha taarabu umejubali mapigo bila kuangalia response ya upande wa pili.
 
Huu ni ugoro
 
Ndo mana nimekwambia washabiki wa yanga ni wapuuzi mnaoshadadia na kuingilia mambo yasiyowahusu....ulitaka wakueleze nini wewe mshabiki wa yanga wakati hayakuhusu....kwa taarifa yako sisi washabiki wa simba tunayajua hayo yote..na kama hujui tu kilomoni alishafukuzwa uanachama na mkutano mkuu wakati wa upitishwaji wa mabadiliko ya mfumo...kilichotokea viongozi wetu wakuu waliamua kutumia busara wakamrudishia uanachama na walimwita kwenye simba day mwaka jana na akashiriki kukata keki....sasa haya mambo we shabiki wa gongowazi huwezi kuyajua na hayakuhusu....alafu mambo ya mzee kilomoni yanawasaidia nini nyi mashabiki wa yanga kuiepusha timu yenu kushindia matikiti kule morogoro....wanaoshadadia na kufuatilia masuala yasiyowahusu ndo mambumbumbu kiwango cha lami
 
Tatizo la simba ni uoga uliopitiliza.... Wanamtukuza mo kana kwamba thamani ya simba ni zero kabisa.

Huu ni utumwa wa fikra... Kilomoni yupo kwenye msimamo sahihi... Ila uoga na tamaa za wanasimba ndio zinayumbisha nia ya kilomoni...

Sasa mo ndio atawaletea ujinga uliopitiliza... Mtamkumbuka kilomoni
 
Bora ukae kimya kama huna cha kuandika
 
Acha kututishia nyau mkuu huyo mzee anang'oka kuanzia sasa
 
Yani vyura wanakua wananyege zilizo pitiliza badala wajadili jinsi ngan team yao itajikwamua vp na wimbi la kula matikiti wamekomalia mambo ya simba hata hayawahusu
 
Hawa wazee wa mjini alifikiri ataitwa chemba apigwe hata na milioni kumi anyamaze imekuwa too late angekaza mwanzo kabla ya mikutano ya kumpitisha Mo kuwa mwekezaji
 
Gongowazi wahed
 
Gongowazi wahed
 
Unavyosema wasiporwe unamaanisha nini?kuuza timu ni kuporwa au
 
Kama mzalendo mzee kilomoni sio basi Waonyeshè na hati sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…