Hizo Chelsea, Man City na nyingine nyingi, wawekezaji hawakuchukua mali za wanachama, wamemilikishwa timu. Mali za wanachama zinamilikiwa na kampuni zilizoanzishwa na wanachama, kiu ya mabadiliko imesababisha kuingia kichwa kichwa bila mambo ya msingi kuwekwa sawa. Mo aachane na majengo ya klabu, yeye atumie klabu ya simba kupata faida yake
Mbagala Market na baadaye African Lyon. Bila kusahau Singida United alichemsha kwa sababu hazina mali na mashabiki.
Yanga na Simba zina mali na mashabiki. Lazima avune tu.
Mo kwani kaomba hati? au wapi ulimwona Mo kasema anadai hati.
Mo anataka vitu viwe wazi.
Ameenda Rita kusajili mali ya Simba iwe chini ya jina lake huoni kuwa Huo ni uhuni ulipitiliza? Mkataba unataka hivyo?
Jamaa ni punguan wahiid, yaan timu yao iko vizuri afu wanaanza mifarakano,
Daah Yanga tungekua hivi saev ningefurahi sana
Binafsi huwa nashangaa mno pale baadhi ya wanasimba wanaposema Simba ni matajiri...Ukiwauliza utajiri wenu uko wapi? Wao wanatambia utajiri wa Mo sawa na Yanga walipokuwa wanatambia utajiri wa Manji...ukiwauliza wanasimba hao kama ninyi ni matajiri akaunti ya klabu ina kiasi gani wanabaki wanazungusha macho...Kama MO ni mwekezaji ina maana anafanya biashara, hayuko tayaei kuapata hasara kwa hiyo akitoa fedha za usajili na uendeshaji wa timu/klabu ina maana anatarajia atanufaika kibiashara
Kilomoni wako huyo akiachiwa aendeshe timu ataweza japo hata kwa masaa48? Usikute hata wewe ni mshabiki tu hujawahi kulipa hata ada.
Usikute ndio nn nyie vijana akili zenu zimejaaa matope tu
Katiba ya simba haitegemei jina la mtu hata wewe km unapesa utawekeza acha kukariri
Ukiulizwa mafanikio ya simba nje ya uwanja inanini utajibu?
Au mo anataka atumie ujanja wa kujilimbikizia Mali kipitia jina lake siku akiondoka abebe ns utajiri wa simba tuanze moja tena
Wanapenda kujiita matajiri. Ukweli ni kwamba matumizi bado ni makubwa kuliko mapato.
Ujeuri wao ni hela ya Mo. Lakini wanasahau anawakopesha. Siku ya ku balance assets na madeni watakuta hiyo billion 20 ilishayeyuka zamani na bado kuna deni kubwa.
Kuna value ya jengo na kuna value ya eneo. Nyumba za Kariakoo kuuzwa bei hizo si thamani ya majengo bali eneoUkinambia mashabiki sawa ila sio mali kwa mfano Yanga wana mali gani zaid ya lile jengo? And unataka kunambia value ya lile jengo ni trillion ngapi?
Kelele kibao ukiulizwa hapo kwa mwaka unachangia sh ngapi hata mia utoi,
Mfano mo akipewa hiyo hati ya jengo ww unapata hasara gani? Unajua utajiri wa mo ni how much? Fanya value na thamani ya hilo jengo, Yan kwa akili yako mtu anaweza kutoa milion moja ili apate jengo la timu lenye dhaman ya laki 8?
Wakati timu sio ya mtu ilikuwa na mafanikio gani? Wakati simba sio ya mtu mlikuwa na uwezo kama mliokuwa nao leo?
Kabla ya mo hayo majina ya watu yalikuwa wapi
Sijui kama una akili? Ama una ufahamu fulani sijui kama ni wewe au akili hata za kuandika humu umesaidiwa ili kupima akili za watu, hivi Simba Sport club na idadi ya mashabiki wake wote Nchi hii.
Inastahili kuwa na Jengo kama lile kama makao makuu? Tena eneo la kibiashara kama Kariakoo? Endapo mtu binafsi tu hawezi kuwa na akili za kindezi kama hizo je, vipi timu iliyo ongozwa na watu wanaovimbiana matumbo kwa wizi tangu 1935?
Hata aibu hamuoni? Hivi mnafikiri mnayoyafanya hayaonekani?
Teh teh kilza km wewe ndio unapigania maendeleo kumbe rita wanasajili maliAmeenda Rita kusajili mali ya Simba iwe chini ya jina lake huoni kuwa Huo ni uhuni ulipitiliza? Mkataba unataka hivyo?
Teh teh kilza km wewe ndio unapigania maendeleo kumbe rita wanasajili mali
Mwanachama mwenye thamani gani kwa club yenye mamilioni ya mashabiki? Wewe unachangia tsh ngapi kuendesha timu?We kenge utajiri wa Mo mi haunihusu na sitaki kujua
Kinachonihusu mimi ni simba kwasababu ni mwanachama hai wa simba
Mwekezaj yeyote anaweza kuja kuwekeza simba sio lazima awe mo
Asije akajifanya timu ni yake
Mpuuzi sana wewe.!Wewe unaelewa nini tukisema mali na nembo ya simba
Au unaharisha utumbo tu
Mwanachama mwenye thamani gani kwa club yenye mamilioni ya mashabiki? Wewe unachangia tsh ngapi kuendesha timu?
Tangu ulipoanza kuwa mwanachama kuna mabadiriko gani chanya uliyo yafanya ambayo yanaonekana? Hiyo kadi umenunua tsh ngapi?
Nyinyi kama sio wachawi mna matatizo.ya akili.
Mmeona simba kumetulia Yanga kumetibuka mnataka simu kutibuke ili.yanga kutulie ndio michezo.yenu miaka yenu miaka yote.