Mzee Kilomoni Tupo nyuma yako usiyumbishwe

Mzee Kilomoni Tupo nyuma yako usiyumbishwe

Victor wa happy

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2013
Posts
11,660
Reaction score
11,654
Huwa nikipita mitandaoni nasikitika sana kwa mashabiki wa Simba kumbull mlezi mkuu wa simba, kumtukana matusi ya kila aina eti kisa wana muwekezaji Mo.

Sisi tulioapa kuwa simba haiwezi kubadilishwa kuwa timu ya mtu tutasimama na mzee wetu hata wale wapiga kelele wanaotumwa na mo kumtukana mzee wetu wataparaganyika na kutuachia timu yetu

Vijana oya oya wa simba ambao wao huwaza mambo ya Leo tu kamwe hawatatushinda.
Yes we are conservative we will not change

Sisi tunajua mo nimfanyabiashara hatadumu pale milele kwanini anataka akabidhiwe hati ya Mali za simba?
Kwa lipi alilolifanya? Asidhani yeye ndio ametoa pesa nyingi kuliko waliomtangulia kuna matajiri walimwaga pesa simba na hawakuweka mashariti magumu Kama anayodai huyu mo

Mo sisi wazee tunakuambia ijawezekana kwenye mkutano wa simba tukawa tunakupigia makofi ili kukufurahisha ila tambua simba haiwezi kumilikiwa na mtu
Simba ni timu ya wanachama Hilo halitabadilika mpaka mwisho wa dunia

Kama pesa zako ni chungu kuzitoa rudi ukawekeze African lyion uliyoikimbia

Ila simba huku hautapaweza huku hakuna ngombe aliyekatwa mkia huku wote ni makambale, utatamba miaka mitatu mingapi mwisho tutakukata kichwa jifunze kwa manji sio kwamba haipendi Yanga ila alitaka kuichikua yanga iwe ya kwake ila watu wasioonekana walimshinda

Hata Hapo simba inawezekana wanaoonekana kina kingwangwala and kina makonda unawamudu ila nikutoe shaka Hao hawana nguvu yeyote ndani ya simba ni Kama waburudishaji tu

Wenye nguvu ni Hawa aina ya kina kilomoni wapo wengi hawapo mitandaoni utakwama tu

Mzee kilomoni sisi wanasimba Tupo pamoja na wewe acha mashabiki wapige kelele mitandaoni
Simba haitabadilika kwa tamaa ya fedha ya mlo mmoja
Kila kijiji hakikosi wazee
 
Kwani hiyo Mzee anasemaje?
 
mh! mmeanza. upumbavu huo ndo utaharibu mweleekeo mzima wa timu. acheni kupiga kelele. hizo kelele za kijinga ndo zimeifikisha yanga hapa ilipo.
 
Mzee mwenzangu mbona kama povu povu flan
Mianya imeshikwa nini? Natania tu mkuu.

Embu toa faida na hasara za uwepo wa Mo Simba?
Hao waliomwaga mipesa kuliko Mo. Simba ilifika wapi? Na baada ya hapo imefika wapi?
Sheria za mikataba zipo nyingi. Anaweza kukabidhiwa mali ila kisheria ambayo itambana utumiaji wa mali kibinafsi.

Sijaona ubaya ya uwekezaji wa aina hii ya Mo.
Labda Mo anaogopa akiwekeza anaweza kutokunufaika na upande wa pili wa hao wapingao wana wasi wasi labda akikabidhiwa ndio basi watageukwa na Mo.

Timu ya mf. Ni TP Mazembe Supersport zilikua na wanachama hivi hivi hazikua zikipiga hatua ila baada ya kuamua kuibgia kwenye mfumo wa kiuwekezaji tunayaona mafanikio.

Kusema haiwezekani ni rahisi ila kwa nini haiwezekani ugumu huanzia hapo. Mkuu labda jaribu kupinga kwa hoja Kwa nini Mo asipewe timu.?

Binafsi naunga mkono uwekezaji huu labda pande mbili zikae zione kila mmoja ananufaikaje. Sababu kuendesha taasisi kubwa kama simba ni inahitaji weledi na taaluma yenye kusadifu mahitaji ya timu.
 
Huwa nikipita mitandaoni nasikitika sana kwa mashabiki wa Simba kumbull mlezi mkuu wa simba, kumtukana matusi ya kila aina eti kisa wanamuwekezaji Mo

Sisi tulioapa kuwa simba haiwezi kubadilishwa kuwa timu ya mtu tutasimama na mzee wetu hata wale wapiga kelele wanaotumwa na mo kumtukana mzee wetu wataparaganyika na kutuachia timu yetu

Vijana oya oya wa simba ambao wao huwaza mambo ya Leo tu kamwe hawatatushinda.
Yes we are conservative we will not change

Sisi tunajua mo nimfanyabiashara hatadumu pale milele kwanini anataka akabidhiwe hati ya Mali za simba?
Kwa lipi alilolifanya? Asidhani yeye ndio ametoa pesa nyingi kuliko waliomtangulia kuna matajiri walimwaga pesa simba na hawakuweka mashariti magumu Kama anayodai huyu mo

Mo sisi wazee tunakuambia ijawezekana kwenye mkutano wa simba tukawa tunakupigia makofi ili kukufurahisha ila tambua simba haiwezi kumilikiwa na mtu
Simba ni timu ya wanachama Hilo halitabadilika mpaka mwisho wa dunia

Kama pesa zako ni chungu kuzitoa rudi ukawekeze African lyion uliyoikimbia

Ila simba huku hautapaweza huku hakuna ngombe aliyekatwa mkia huku wote ni makambale, utatamba miaka mitatu mingapi mwisho tutakukata kichwa jifunze kwa manji sio kwamba haipendi Yanga ila alitaka kuichikua yanga iwe ya kwake ila watu wasioonekana walimshinda

Hata Hapo simba inawezekana wanaoonekana kina kingwangwala and kina makonda unawamudu ila nikutoe shaka Hao hawana nguvu yeyote ndani ya simba ni Kama waburudishaji tu

Wenye nguvu ni Hawa aina ya kina kilomoni wapo wengi hawapo mitandaoni utakwama tu

Mzee kilomoni sisi wanasimba Tupo pamoja na wewe acha mashabiki wapige kelele mitandaoni
Simba haitabadilika kwa tamaa ya fedha ya mlo mmoja
Kila kijiji hakikosi wazee
Hata kadi ya uwanachama wa simba huna unaongea tu
 
MO ataondoka kwa Aibu sana kwenye Club yetu ya Simba !

Naunga mkono sana tu kuifanya Club yetu kuendeshwa kibiashara lakin hawezi kufanikiwa kwa kuwa Serikal haipo tayari kukabidhi timu za Simba na Yanga kwa Wafanyabiashara

Simba na Yanga ni zaid ya Club za Mpira

Mzee Kilomoni ana watu wazito sana Nyuma yake

Kwa kuwa 2020 imekaribia na kwa kuwa Serikal iliamua kumvuruga Manji basi this time imeamua yenyewe kusaidia Timu ndio sababu kaibuka Mh.Mavunde from no where na kuanzia aliloanzisha ili timu Irish kwny Chart

MO angerudi kwny AFRICA Lyon na kufanya uwekezaji au angeanzisha ‘Azam’ yake

Mwigulu alianza Heka heka na Singida United uwaziri ukamtokea Puani!
 
MO ataondoka kwa Aibu sana kwenye Club yetu ya Simba !

Naunga mkono sana tu kuifanya Club yetu kuendeshwa kibiashara lakin hawezi kufanikiwa kwa kuwa Serikal haipo tayari kukabidhi timu za Simba na Yanga kwa Wafanyabiashara

Simba na Yanga ni zaid ya Club za Mpira

Mzee Kilomoni ana watu wazito sana Nyuma yake

Kwa kuwa 2020 imekaribia na kwa kuwa Serikal iliamua kumvuruga Manji basi this time imeamua yenyewe kusaidia Timu ndio sababu kaibuka Mh.Mavunde from no where na kuanzia aliloanzisha ili timu Irish kwny Chart

MO angerudi kwny AFRICA Lyon na kufanya uwekezaji au angeanzisha ‘Azam’ yake

Mwigulu alianza Heka heka na Singida United uwaziri ukamtokea Puani!
Nilisema huyo Mo miaka yake ni miwili tu. Akifurukuta Sana ni mitatu.
Arudi Singida United au akainunue upya African Lyon.
 
MO ataondoka kwa Aibu sana kwenye Club yetu ya Simba !

Naunga mkono sana tu kuifanya Club yetu kuendeshwa kibiashara lakin hawezi kufanikiwa kwa kuwa Serikal haipo tayari kukabidhi timu za Simba na Yanga kwa Wafanyabiashara

Simba na Yanga ni zaid ya Club za Mpira

Mzee Kilomoni ana watu wazito sana Nyuma yake

Kwa kuwa 2020 imekaribia na kwa kuwa Serikal iliamua kumvuruga Manji basi this time imeamua yenyewe kusaidia Timu ndio sababu kaibuka Mh.Mavunde from no where na kuanzia aliloanzisha ili timu Irish kwny Chart

MO angerudi kwny AFRICA Lyon na kufanya uwekezaji au angeanzisha ‘Azam’ yake

Mwigulu alianza Heka heka na Singida United uwaziri ukamtokea Puani!
Nyie watu hivi ni mashetani? huu uswahili wenu ni mpaka lini?
Tangu mwaka 1935. Simba imepiga hatua gani kubwa na muhimu chini ya uongozi wenu?
 
Huwa nikipita mitandaoni nasikitika sana kwa mashabiki wa Simba kumbull mlezi mkuu wa simba, kumtukana matusi ya kila aina eti kisa wanamuwekezaji Mo

Sisi tulioapa kuwa simba haiwezi kubadilishwa kuwa timu ya mtu tutasimama na mzee wetu hata wale wapiga kelele wanaotumwa na mo kumtukana mzee wetu wataparaganyika na kutuachia timu yetu

Vijana oya oya wa simba ambao wao huwaza mambo ya Leo tu kamwe hawatatushinda.
Yes we are conservative we will not change

Sisi tunajua mo nimfanyabiashara hatadumu pale milele kwanini anataka akabidhiwe hati ya Mali za simba?
Kwa lipi alilolifanya? Asidhani yeye ndio ametoa pesa nyingi kuliko waliomtangulia kuna matajiri walimwaga pesa simba na hawakuweka mashariti magumu Kama anayodai huyu mo

Mo sisi wazee tunakuambia ijawezekana kwenye mkutano wa simba tukawa tunakupigia makofi ili kukufurahisha ila tambua simba haiwezi kumilikiwa na mtu
Simba ni timu ya wanachama Hilo halitabadilika mpaka mwisho wa dunia

Kama pesa zako ni chungu kuzitoa rudi ukawekeze African lyion uliyoikimbia

Ila simba huku hautapaweza huku hakuna ngombe aliyekatwa mkia huku wote ni makambale, utatamba miaka mitatu mingapi mwisho tutakukata kichwa jifunze kwa manji sio kwamba haipendi Yanga ila alitaka kuichikua yanga iwe ya kwake ila watu wasioonekana walimshinda

Hata Hapo simba inawezekana wanaoonekana kina kingwangwala and kina makonda unawamudu ila nikutoe shaka Hao hawana nguvu yeyote ndani ya simba ni Kama waburudishaji tu

Wenye nguvu ni Hawa aina ya kina kilomoni wapo wengi hawapo mitandaoni utakwama tu

Mzee kilomoni sisi wanasimba Tupo pamoja na wewe acha mashabiki wapige kelele mitandaoni
Simba haitabadilika kwa tamaa ya fedha ya mlo mmoja
Kila kijiji hakikosi wazee
Sema wewe , usiwaingize wanasimba wengne, !! Tunatofautiana akili, mawazo, perception na kila kitu , so usiwaingize watu wengne tukaonekana wote tupo ku support vitu vya ajabu
 
Upuuzi kumpinga uwekezaji wa MO bila ya sababu ya msingi maana ukiangalia hadi MO kafeli wapi au tu balance faida na hasara za MO zipi kubwa?
 
soon tutawajua waliomteka mo,,
Mo ata aichukue simba ni sawa tu,,mm shabiki wa simba nachotaka team ifanye vizuri,
 
Back
Top Bottom