Mzee Kilomoni Tupo nyuma yako usiyumbishwe

Mzee Kilomoni Tupo nyuma yako usiyumbishwe

Simba inauwezo gani kwasasa ukiacha uwongo mnaolishwa na media?

Kwaiyo hata wachezaji tunalishwa uongo? Kocha mzuri, hoteli mzuri ya kulala, hakuna shida ya mishahara je hayo yote hata kwa macho uyaoni?
 
Natamani ungekuwa nayo hata ya kiwanja cha 20x20 ili ujue hasara yake in practical terms tajiri akiichukua

Tajiri mwenye utajiri wa 100 bilioni atapata faida gani akichukua hati ya kibanda wima chako cha laki 7?
 
Huwa nikipita mitandaoni nasikitika sana kwa mashabiki wa Simba kumbull mlezi mkuu wa simba, kumtukana matusi ya kila aina eti kisa wanamuwekezaji Mo

Sisi tulioapa kuwa simba haiwezi kubadilishwa kuwa timu ya mtu tutasimama na mzee wetu hata wale wapiga kelele wanaotumwa na mo kumtukana mzee wetu wataparaganyika na kutuachia timu yetu

Vijana oya oya wa simba ambao wao huwaza mambo ya Leo tu kamwe hawatatushinda.
Yes we are conservative we will not change

Sisi tunajua mo nimfanyabiashara hatadumu pale milele kwanini anataka akabidhiwe hati ya Mali za simba?
Kwa lipi alilolifanya? Asidhani yeye ndio ametoa pesa nyingi kuliko waliomtangulia kuna matajiri walimwaga pesa simba na hawakuweka mashariti magumu Kama anayodai huyu mo

Mo sisi wazee tunakuambia ijawezekana kwenye mkutano wa simba tukawa tunakupigia makofi ili kukufurahisha ila tambua simba haiwezi kumilikiwa na mtu
Simba ni timu ya wanachama Hilo halitabadilika mpaka mwisho wa dunia

Kama pesa zako ni chungu kuzitoa rudi ukawekeze African lyion uliyoikimbia

Ila simba huku hautapaweza huku hakuna ngombe aliyekatwa mkia huku wote ni makambale, utatamba miaka mitatu mingapi mwisho tutakukata kichwa jifunze kwa manji sio kwamba haipendi Yanga ila alitaka kuichikua yanga iwe ya kwake ila watu wasioonekana walimshinda

Hata Hapo simba inawezekana wanaoonekana kina kingwangwala and kina makonda unawamudu ila nikutoe shaka Hao hawana nguvu yeyote ndani ya simba ni Kama waburudishaji tu

Wenye nguvu ni Hawa aina ya kina kilomoni wapo wengi hawapo mitandaoni utakwama tu

Mzee kilomoni sisi wanasimba Tupo pamoja na wewe acha mashabiki wapige kelele mitandaoni
Simba haitabadilika kwa tamaa ya fedha ya mlo mmoja
Kila kijiji hakikosi wazee
Mmepata ubwete wa kuingia Champion league kupitia viti maalum kwa mgongo wa Simba chini ya hela ya Mo na visionary strategies zake.. Sasa mnataka penyeza zile fitina zenu za Timu wanachama (wananchi)wakati hata kutoa bukubuku tu kwenu iliwashinda kwenye lile kapu lenu la kuombaomba... Piganeni na hali yenu nanyi msimame na miguu miwili kiuchumi na muache ufitini, chuki na uzandiki.
 
Apewe tu hizo hati ili akavutie mkopo mnene benki ili kuendeleza hiyo biashara yake ya boda boda aliyoianzisha. Matunda tumeyaona baada ya kuwagawia na wachezaji. Inalipa bila shaka.
Km c MO yanga na KMC wangeingiaje mashindano ya CAF msimu ujao?. Au unataka mafanikio akujengee nyumba? TUMIA AKILI mda gani na nini kimepatikana
 
We jamaa unafanya nini nyuma ya Kilomoni...hujui huyo ni kama baba yako au babu yako???
 
Mbagala Market na baadaye African Lyon. Bila kusahau Singida United alichemsha kwa sababu hazina mali na mashabiki.
Yanga na Simba zina mali na mashabiki. Lazima avune tu.
Kweli kabisa!
 
Ameenda kusajili mali ya Simba iwe chini ya jina lake huoni kuwa Huo ni uhuni ulipitiliza? Mkataba unataka hivyo?
Hebu mpatieni Mo hiyo hati aliyotumwa ili akamkabidhi Bashite faster. Hamjui Bashite ndiye mmiliki ajaye wa Club ya Simba?
 
Yanga wakiukosa ubingwa wa nchi inakuwa taabu tupu hakika.
Ni kelele kelele kelele.
Mlichukua ubingwa wa ligi Mara 3 mfululizo, mbona wenzenu wa Simba waliwaheshimu kama mabingwa.
Hivi Simba naye akichukua ubingwa Mara 3 mfululizo si Mtawehuka kabisa....!
 
Unaniuliza value mimi? Valuation mlitakiwa mfanye kabla ya kuingia hicho mnachokiita hisa. Mmeingizwa mkenge eti hisa 49%.

Yan wote waliohusika kwenye mchakato ni wajinga ila ww tu mmoja ndio unaakili timamu
 
Yan wote waliohusika kwenye mchakato ni wajinga ila ww tu mmoja ndio unaakili timamu
Mkuu wote walio nyuma ya huyu babu ni Yanga fans, wao na babu yao njaa zinawasumbua hawana hoja hata moja, yaani ikitokea leo mkutano mkuu ukaitishwa huyu mzee hazubutu kuja kwa sababu hayupo kwa ajili ya maendeleo ya club bali maslai yake, kwanza nilishangaa sana kipindi kabla hawajamtimua eti alikuwa kwenye kamati ya usajili dah ndio maana simba ilikuwa haipigi hatua
 
Yaani vitu vyengine hivi eti mzee wetu,karne hii ya 21 mnafuga wa zee kwenye club.Mimi sijawahi kusikia wazee wa Manchester Utd,Wazee wa Arsenal,Wazee wa Liverpool nk,huu ujinga anapatika kwetu TZ mtu anataka kuwekeza mpeni timu,tatizo zengwe kama hili linaibuka sababu milango ya upigwaji imezibwa lakini Mo yupo sawa,ndani ya msimu mmoja simba imeingia robo fainali na kama Mo akiachiwa timu,usishangae baada ya miaka 3 inaweza fanya makubwa ktk soka la Afrika.

Au mnapenda kutembeza bakuli kama timu yetu ya Yanga ambayo ina migogoro kibao,mwacheni Mo afanye kazi kwani uendeshwaji wa mpira wa kisasa auhitaji wazee bali watu kama akina Mo,hao wazee wakalee wajukuu wao kwao na familia zao.Sasa rukeni rukeni alafu mfanye upuuzi wa kumfukuza Mo muone naona mmeimiss migogoro.
Hivi kwani Timu za kuwekeza zimeisha?
 
Sasa nyinyi mnataka mwekezaji asipate faida?Hebu jifunzeni kwa Chelsea,Man City na PSG timu zile zipo pale sababu watu wemeweka hela zao na faida zinaoneka,Bakheresa sio mfadhili bali ni mmiliki wa wa Azam 100%.Ila nyie endeleeni tu si wenzenu Yanga tunaungaunga,nyie mmempata mwekezaji mnazingua.Ila kaa ukijua Tanzania HAMNA WAPENZI WA MPIRA BALI KUNA MASHABIKI WA MPIRA.
Wakawekeze Ndanda,Lipuli au Singida United
 
Sawa ila kwangu mimi Mo anaibeba timu na siku hizi timu zinatafuta wawekezaji ili zipige hatua,leo hii Chelsea ni tishio sababu ya Abromovich,Man City tishio sababu ya Shekhe Mansor hivyo hivyo kwa PSG,mimi sioni Mo anapokosea tatizo letu tunataka tuendekeze utamaduni wa wazee na makomandoo ambao umeshapitwa na wakati.
Mo na Simba wanabebana.Ndio maana hawezi kuzibeba Singida United au African Lyon
 
Back
Top Bottom