Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipindi midege inanunuliwa bila bunge kupitisha bajeti yake mlikuwa mmeufyata, leo ndio mnaanza kupiga mayowe,Hapo unamshauri mtu akate miguu yake.
Uuwiii we jamaa hilo halitatokea.Ukiona mtoto anajiamini juwa anajambo.Huu mkataba wa bil 70+ uligubikwa na utata mkubwa juu ulivyoingiwa na umuhimu wake kwa Tanesco.
Kwa ufupi hapa kuna harufu ya ufisadi mkubwa sana maana bil 70 ya kitanzania ni pesa nyingi.
Madhari umeanza kudili na ufisadi basi huu ndio wakati muafaka kuwalaani wana wapiga madili na ufisadi.
Umekurupuka kama jina lako linavyosadifu Nyankurungu2020. Zabuni ya Mahindra ilitangazwa na kuchakatwa wakati wa Magufuli. Hawa kina Makamba wamekuja ku implement tu.Huu mkataba wa bil 70+ uligubikwa na utata mkubwa juu ulivyoingiwa na umuhimu wake kwa Tanesco.
Kwa ufupi hapa kuna harufu ya ufisadi mkubwa sana maana bil 70 ya kitanzania ni pesa nyingi.
Madhari umeanza kudili na ufisadi basi huu ndio wakati muafaka kuwalaani wana wapiga madili na ufisadi.
Sukuma gang huyu makamba kawafanya nn ? Mbona mna gubu nae kama mna mimba changa mloachiwa na lile fedhuli la chato?Huu mkataba wa bil 70+ uligubikwa na utata mkubwa juu ulivyoingiwa na umuhimu wake kwa Tanesco.
Kwa ufupi hapa kuna harufu ya ufisadi mkubwa sana maana bil 70 ya kitanzania ni pesa nyingi.
Madhari umeanza kudili na ufisadi basi huu ndio wakati muafaka kuwalaani wana wapiga madili na ufisadi.
Hata magufuli alikuwa fisadi aliyejidai anapambana na mafisadi? Hukumbuki alinunua nyumba za NIC Maghorofa mawili kule dodoma kwa lak 6 kila moja tena kwa mkopo?.Eti kinana anapambana na mafisadi hii nchi inavituko.
Kesi ya tumbili hakimu nyani[emoji1]Huu mkataba wa bil 70+ uligubikwa na utata mkubwa juu ulivyoingiwa na umuhimu wake kwa Tanesco.
Kwa ufupi hapa kuna harufu ya ufisadi mkubwa sana maana bil 70 ya kitanzania ni pesa nyingi.
Madhari umeanza kudili na ufisadi basi huu ndio wakati muafaka kuwalaani wana wapiga madili na ufisadi.
Eti msafiri[emoji23][emoji23] ila hii nchi[emoji23]Kipindi midege inanunuliwa bila bunge kupitisha bajeti yake mlikuwa mmeufyata, leo ndio mnaanza kupiga mayowe,
Mwacheni msafiri apige kazi
Kesi ya tumbili hakimu nyani[emoji1]Huu mkataba wa bil 70+ uligubikwa na utata mkubwa juu ulivyoingiwa na umuhimu wake kwa Tanesco.
Kwa ufupi hapa kuna harufu ya ufisadi mkubwa sana maana bil 70 ya kitanzania ni pesa nyingi.
Madhari umeanza kudili na ufisadi basi huu ndio wakati muafaka kuwalaani wana wapiga madili na ufisadi.
Makamba hapo kabisa pesa ndefu snHuu mkataba wa bil 70+ uligubikwa na utata mkubwa juu ulivyoingiwa na umuhimu wake kwa Tanesco.
Kwa ufupi hapa kuna harufu ya ufisadi mkubwa sana maana bil 70 ya kitanzania ni pesa nyingi.
Madhari umeanza kudili na ufisadi basi huu ndio wakati muafaka kuwalaani wana wapiga madili na ufisadi.
Huyu dogo ni mpigaji hatare sana na hana maadili hata kdg lkn nahisi yupo na 'mzee baba'Huu mkataba wa bil 70+ uligubikwa na utata mkubwa juu ulivyoingiwa na umuhimu wake kwa Tanesco.
Kwa ufupi hapa kuna harufu ya ufisadi mkubwa sana maana bil 70 ya kitanzania ni pesa nyingi.
Wote ni wapigaji?Kesi ya tumbili hakimu nyani[emoji1]