Mzee Kinana anza na January Makamba na Mkataba tata wa Mahimdra Tech

kinana na january ni kama pipa na mfuniko. huyu analamba asali yule anakula masega
 
Uuwiii we jamaa hilo halitatokea.Ukiona mtoto anajiamini juwa anajambo.
 
Umekurupuka kama jina lako linavyosadifu Nyankurungu2020. Zabuni ya Mahindra ilitangazwa na kuchakatwa wakati wa Magufuli. Hawa kina Makamba wamekuja ku implement tu.
 
Sukuma gang huyu makamba kawafanya nn ? Mbona mna gubu nae kama mna mimba changa mloachiwa na lile fedhuli la chato?
 
Eti kinana anapambana na mafisadi hii nchi inavituko.
Hata magufuli alikuwa fisadi aliyejidai anapambana na mafisadi? Hukumbuki alinunua nyumba za NIC Maghorofa mawili kule dodoma kwa lak 6 kila moja tena kwa mkopo?.
Hukumbuki hata ile kebys pale mwenge alijenga hawala?
 
Kesi ya tumbili hakimu nyani[emoji1]
 
Kesi ya tumbili hakimu nyani[emoji1]
 
Makamba hapo kabisa pesa ndefu sn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…