13 July 2024
DK 7 za KINANA AJILIPUA MBELE YA RAIS SAMIA , "tunalalamikiwa tuache rushwa"
View: https://m.youtube.com/watch?v=R1uNCHfBZGg
Akiongea mbele ya vigogo wa CCM walio viongozi serikalini akiwemo rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Makamu Mwenyekiti wa CCM bara komredi Abdulrahman Kinana kabla ya kuandika barua ya kujiuzulu
Tutapata viongozi wabovu, sasa hivi wanaoomba uongozi wanaombwa rushwa anasikitika Abdulrahman Kinana.
Viongozi tusiendekeze rushwa tunapokwenda uchaguzi wa 2024 / 2025 na imani ya wananchi kwetu sisi CCM itapungua
Pia soma
- Kuelekea 2025 - Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
DK 7 za KINANA AJILIPUA MBELE YA RAIS SAMIA , "tunalalamikiwa tuache rushwa"
View: https://m.youtube.com/watch?v=R1uNCHfBZGg
Akiongea mbele ya vigogo wa CCM walio viongozi serikalini akiwemo rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Makamu Mwenyekiti wa CCM bara komredi Abdulrahman Kinana kabla ya kuandika barua ya kujiuzulu
Tutapata viongozi wabovu, sasa hivi wanaoomba uongozi wanaombwa rushwa anasikitika Abdulrahman Kinana.
Viongozi tusiendekeze rushwa tunapokwenda uchaguzi wa 2024 / 2025 na imani ya wananchi kwetu sisi CCM itapungua
Pia soma
- Kuelekea 2025 - Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia