Mzee Kungubaya ametutoka

Kituko

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2009
Posts
9,555
Reaction score
9,357
Mwanamuziki wa zamani Mzee Kungubaya, amefariki jioni hii, alikuwa amelazwa kwa shida ya Pressure na baadae aligundulika kuwa na tatizo la Figo

Kwa wale wasikilizaji wa zamani wa RTD kulikuwa na kipindi cha Salamu kwa Wagonjwa, ule wimbo wa kuanzia na kumaliza kipindi ulitungwa na kuimbwa na Mzee Kungubaya

Update
Mzee amezikwa leo saa kumi jioni maeneo ya Mbezi Msigani, amekufa na umri unaokadiliwa kuwa miaka 78
 
Nna mpenzi wangu Kibamba eeh, eeh Kibamba..
Mpenzi wangu Kibamba eeh, Kibamba eeh..

[Moja ya nyimbo za zamani ninazozipenda sana].

Pole ziwafikie wote walioguswa na kifo cha mzee Kungubaya.

May you rest in paradise city.

 
RIP
Nakumbuka wimbo huu, uliimbwa kila jumapili saa nne asubuhi enzi hizo:
Wakati umewadia wa salamu za wagonjwa hospitalini wote tunawapa poleeee
Ajuaye Mungu kuwa mtu yuko salaaaam wote tunawapa poleeee
 
Ooh jamani juzi tu nilimuona kibaha Apumzike kwa amani
 
Wakati umewajia wa salamu kwa wagonjwa mahosipitalini wote tunawapa pole,ajuaye bwana Mungu kwa mzima kuwa mfu mgonjwa kuwa salama wote tunawapa pole,......
 
Nna mpenzi wangu Kibamba eeh, eeh Kibamba..
Mpenzi wangu Kibamba eeh, Kibamba eeh..

[Moja ya nyimbo za zamani ninazozipenda sana].

Pole ziwafikie wote walioguswa na kifo cha mzee Kungubaya.

May you rest in paradise city.


Dah, ndo huyo kaka
 
Mzee amezikwa leo saa kumi jioni maeneo ya Mbezi Msigani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…