Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Sometimes sifa za kijinga ni janga. Zinaweza kujisababishia madhara makubwa sana. Na kwa kweli wanawake huwa ndio kichocheo kikubwa cha kuleta madhila hayo kwa wanaume.
Ni wangapi wanakumbuka enzi zile ajali mbaya za baiskeli zilivyokuwa zinatokea? Ni manjonjo na kuonesha ufundi mbele ya kadamnasi hasa yenye wanyange[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]na si baiskeli tu hata tukutuku.
Ona kisa hiki cha mzee Likwidi AKA MAMA NAKUFAA. Anamaliza mwaka na antenna bila king'amuzi
Ni wangapi wanakumbuka enzi zile ajali mbaya za baiskeli zilivyokuwa zinatokea? Ni manjonjo na kuonesha ufundi mbele ya kadamnasi hasa yenye wanyange[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]na si baiskeli tu hata tukutuku.
Ona kisa hiki cha mzee Likwidi AKA MAMA NAKUFAA. Anamaliza mwaka na antenna bila king'amuzi