Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Ashukuriwe na kukumbukwa Mzee wetu Lowasa. Aliwaza kitajiri na hakuwahi kuabudu umaskini.
Alianzisha shule za kata lakini alipofaulu kwenye Mradi huu alitoka adharani akatueleza madhara ya matokeo ya kizazi cha shule za kata kwa siku za mbele.
Alituambia tusiweka misingi ya kuwaingiza vijana wanaozaliwa na kukua katika soko la ajira watageuka bomu.
Sasa tumeona Kenya bomu limelipuka, Uganda linalipuka na Tanzania litalipuka kwenye sanduku la Kura
Nchi isipoacha kuamini kwamba koo zile zile chache zitatoa viongozi ipo hatarini kuangamia. Taifa lina watu wengi wenye vipaji na maarifa lakini siyo watoto wa wakubwa.
Hadi pale tutakapoelewa kiwanda cha kutengeneza Gen Z kipo wapi ndipo tutaelewa kwamba Gen Z inaweza kuhatarisha uchumi na mipango ya waendesha V8
Alianzisha shule za kata lakini alipofaulu kwenye Mradi huu alitoka adharani akatueleza madhara ya matokeo ya kizazi cha shule za kata kwa siku za mbele.
Alituambia tusiweka misingi ya kuwaingiza vijana wanaozaliwa na kukua katika soko la ajira watageuka bomu.
Sasa tumeona Kenya bomu limelipuka, Uganda linalipuka na Tanzania litalipuka kwenye sanduku la Kura
Nchi isipoacha kuamini kwamba koo zile zile chache zitatoa viongozi ipo hatarini kuangamia. Taifa lina watu wengi wenye vipaji na maarifa lakini siyo watoto wa wakubwa.
Hadi pale tutakapoelewa kiwanda cha kutengeneza Gen Z kipo wapi ndipo tutaelewa kwamba Gen Z inaweza kuhatarisha uchumi na mipango ya waendesha V8