SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Alikuambia wapi habari hizi? Yaani wewe tu ndiye unayo habari hii?Mgombea urais wa CHADEMA mwaka 2015 amekitakia chama chake cha zamani uchaguzi mwema na kuwakumbusha kuwa zikutanapo pepo za Kaskazi na Kusi unaweza kuupata upepo wa kisulisuli.
Siasa sio uadui
Maendeleo hayana vyama!
Umeshapanic!Alikuambia wapi habari hizi? Yaani wewe tu ndiye unayo habari hii?
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwanja wa KIA sasa unamilikiwa na serikali kwa 100%
Jibu swali habari kakueleza mkiwa wawili tu na mlikuwa wapi?Umeshapanic!
Siasa siyo uadui msalimie Kubenea!
Wakati anapigiwa deki hakuwa tapeli wa kisiasa ila kurudi alikokuwa kawa tapeli wa kisiasa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwanja wa KIA sasa unamilikiwa na serikali kwa 100%
Chadema hoyeeeeee!
We mmama wa kizaramo ushaidi uko wapi au umbea wako uliouzoea kwenye mikeka?Mgombea urais wa CHADEMA mwaka 2015 amekitakia chama chake cha zamani uchaguzi mwema na kuwakumbusha kuwa zikutanapo pepo za Kaskazi na Kusi unaweza kuupata upepo wa kisulisuli.
Siasa sio uadui
Maendeleo hayana vyama!
Lowassa ukiondoa kuwa alikuwa kiongozi zao la wapigaji na mfumo wa kifisadi wa ccm ila ni kiongozi ambaya hana visasi.
Utawala wake ungekuwa kama wa Kikwete ushikaji mwingi na mianya ya upigaji ya kimfumo.
Ila all in all nilipenda alivyoachana na siasa kama nilivyo shauri.
Bwashee Lowassa amewaletea wabunge lukuki hapo Chadema na akakataa offer yenu ya kumpa mkewe ubunge wa viti maalumu.......bado unasema ana roho mbaya?!Mkuu Lowassa yupi huyo unamzungumzia? Haya anayotenda jiwe ni kama kaiga ambayo angefanya Lowassa. Pitia kilichokuwa kinatokea kwa wapinzani kwenye jimbo la monduli. Futa hiyo kauli yako, huyo mzee ana roho chafu kupita kiasi. Kimsingi hata rais akiwa mbaya, kuna watu lazima waneemeke na utawala wake.
Mgombea urais wa CHADEMA mwaka 2015 amekitakia chama chake cha zamani uchaguzi mwema na kuwakumbusha kuwa zikutanapo pepo za Kaskazi na Kusi unaweza kuupata upepo wa kisulisuli.
Siasa sio uadui
Maendeleo hayana vyama!
Kweli unaitendea haki bk7 ykoUwanja wa KIA sasa unamilikiwa na serikali kwa 100%
Chadema hoyeeeeee!
Bwashee Lowassa amewaletea wabunge lukuki hapo Chadema na akakataa offer yenu ya kumpa mkewe ubunge wa viti maalumu.......bado unasema ana roho mbaya?!
Hahahaaa.......Chema chajiuza bwashee kwa utekelezaji huu wa ilani Chadema imefutika rasmi Kilimanjaro bado Tarime sasa!
Sifa kuu ya nyumbu ni kusahau!Wakati anapigiwa deki hakuwa tapeli wa kisiasa ila kurudi alikokuwa kawa tapeli wa kisiasa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Msaliti huyo hana jipyaMzee ana haki ya kikatiba kuongea na kutoa mawazo yake.