mwakijembe
JF-Expert Member
- Mar 20, 2017
- 1,664
- 2,324
Msamaha wa nini sikuwahi mtukana nilikuwa namwambia ukweli na nitaendelea msimamo wangu ni ule ule!
Yule mmoja kazi yake ni ilikuwa kumuuguza lissu nairobi na yule mwingine ni kumpepea lowassa kipindi kile cha kampeni!
Mimi nina uwezo wa kukulisha wewe na kizazi chako chooteAhaha bundle kushinei!
Msimamo wangu ni kuwa alijiuzulu kutokana na kashfa hilo la mikutano asubiri tu!Ungekuwa na msimamo ungeendelea kusema ulichosema wakati uko cdm. Msimamo ni hakuna ruhusa kufanya mkutano mahali ambapo hujachaguliwa, na Lowassa alizuiwa alipokuwa cdm kufanya hicho hicho na mkaona ni sawa. Sasa yuko ccm anaruhusiwa kufanya mkutano, huo msimamo wako uko wapi?
Aaah sasa naona unajipendekeza kwa nyalandu baada ya Membe kuwashtukia!Mimi nina uwezo wa kukulisha wewe na kizazi chako choote
In God we trust
Msimamo wangu ni kuwa alijiuzulu kutokana na kashfa hilo la mikutano asubiri tu!
Je umeona nimeandika tarehe au mwezi!Hilo la mikutano asubiri wakati uzi wako unataka azunguke kuwashukuru waliompa kura?
Usije ukalaza watoto njaa leo ni jumapili na nyalandu wala sumaye hawafiki hapo ofisini sasa usijilazimishe kununua bundle!Mimi nina uwezo wa kukulisha wewe na kizazi chako choote
In God we trust
Je umeona nimeandika tarehe au mwezi!
Usije ukalaza watoto njaa leo ni jumapili na nyalandu wala sumaye hawafiki hapo ofisini sasa usijilazimishe kununua bundle!
Nina uwezo wa kukulisha na kukuvalisha kwani hizo buku 7 unazo lipwa hapo mimi kwangu naizidisha mara 5 kunywea bia
In God we trust
ukweli ni kwamba hakuna kitakachomzuia kwa sababu ya nguvu ya jeshi na TISS Wale waliotumika kupora dolla na pesa za watu kwenye bureau de change. lakini maandishi ukutani yanasomeka kwamba..... HUKO KUSINI WATU WAMEPORWA KOROSHO ZAO MCHANA KWEUPE, huko kwa wavuvi jeshi limepora watu mali zao mchana kweupe shida ni nyingi hakuna aliyesalama!Kusini atakwenda sidhani kama kuna kitakachomzuia!
labda shughuli ya upishiUzuri sikuwahi piga deki lami wala kuzungusha mikono,jana nilikuwepo kwa shughuli maalumu!
Unaota. Tena this time CCM lazima tupate kura zoteee, yaani 100% ya kura zote lazima tupate CCM. Safari hii hakuna mpinzani atakaye rudi bungeni!Mzee Lowassa ni vyema ukazunguuka nchi nzima makamanda wakushukuru kwa kuwasaidia kuwapa kumbukumbu ambayo haitoweza kutokea tena kwa wingi wa kura,hata wao wanakiri kuwa bila wewe maisha yao yote wasingefikisha hata nusu ya kura za 2015,
Kwa kuwa uliwaahidi kuwashukuru na umeondoka ghafla ni vyema ukawapa nafasi ya kukushukuru.
Kwa hakika hawana mgombea mwingine atakae weza kugusa idadi ile,
Kwa muonekano na matatizo waliyonayo na upungufu wa mgombea ni dhahiri yao ni kura 2.5!
Unaonaje Mbowe akafunguliwa jalada la utapeli wa siasa!
Anastahilikushtakiwa maana alituuzia mbuzi kwenye gunia!Unaonaje Mbowe akafunguliwa jalada la utapeli wa siasa!
Gari zilikuwa hakuna, hata bodaboda walikuwa wameishawahi nafasi za kupiga kura, kumbuka hata peni madukani zilikuwa adimu maana tulipewa tahadhali na Mh. Mbowe kuwa tusitumie kalamu za Tume ya uchaguzi ( Nadhani ulikuwa ushauri wa yule mwizi wa kula maarufu aliyehamia ukawa akitokea CCM)Ulitembea kwa mguu kwa kuwa hukuwa na nauli
In God we trust
Una maana wale wanaovaa combat pamoja magari ya kivita?Nasikia hata wale alio sema watazibangua kwa majino wamesepa
In God we trust