Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kuwa DC Kama kijana wake. Alimsomesha mwanaye nchini Marekani. Ushamba wa madaraka kautoa wapi?

"Jasiri haachi asiri" wahenga walisema, hata angesoma sayari nyingine, mambo yangekuwa yale yale tu.
 

Hii ya Ole Sabaya itakuwa kwenye kumbukumbu za Taifa la Tanzania na Kenya kwani kamwe katika historia hajawahi kupatikana au kutokea “Mmasai” kuwa na tabia kama hiii!!!!! Yeye amekuwa exceptional na unique kwenye kabila la Maasai wa Kenya na Tanzania. LABDA NI MMSAI BADIYA!
 
Amekomba pesa mingi kwa watu wengi na amekula bata sana sasa sijyi kama ana akiba ya kutosha ........sawa na adhabu atazopata....
 
Waswahili wanakuambia ukitaka kujua tabia ya mtu mpe madaraka, hata zile tabia za kihuni alizokuwa akizificha atazionesha wazi.
 
Kuna Mkurugenzi mmoja aliwahi kuwekwa mtu kati na Hayati Magufuli akaulizwa kabla ya uDED ulikuwa wapiakasema alikuwa Marekani, chuma kikamwambia kwa hiyo umekuja toka Marekani kuleta upumbavu wako hapa! Siyo wote waliosoma ama kuishi Marekani wako njema.
 
Unaweza kumpeleka Mshamba Marekani, lakini Ushamba ukagoma kutoka.
 
Sabaya huyu aliyesoma St John University ya hapa uswahilini Au mwingine?

Lakini vile vile Ifahamike kwamba unaweza kumtoa kima msituni ukamleta Mjini lakini huwezi kutoa ule ukima wake kichwani
 
Marekani alienda kusomea unyang'anyi?
 
Baba yake ndie aliyemfunza ujinga.Ujinga hakuanza leo, sabaya baba alichoma nyumba za wanakijiji, sabaya mtoto alichoma moto sekondari ya ikizu.Sabaya baba alipiga mtu kazini JK akashindwa mvumilia akamvua uDC sabaya mtoto kawapiga sana watu Hai kwenye harakati zake za uhalifu.
Maji yamefata mkondo.
 
Labda amesoma USA river sio USA yamajuu,ushamba wote ule alikaaje nawasungu.
Huyo alifeli vibaya form four akakimbilia Uganda wasiojali principal pass tatu karudi kaenda chuo st Johns isiyojali sana ufaulu wa form six we mradi ulipe ada nauwe umefika six, baadae kasoma online marekani chuo ambacho hata lyatonga au sumaye wangefaulu!!
Bila haya mnatupigia makelele hapa eti lisomi la marekani!!! Kwa akili ipi ulomwona anayo au kakiingereza alikookoteza uganda
Alafu muache uzezeta hili sio jukwaa lamazezeta undeni lenu.
Chunguzaga babaake alifanyaje watu Kule serengeti na nyerere alivyomsaidia kutokana na kuchukiza RAIA...karma is real watu muwe mnaelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…