Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kuwa DC Kama kijana wake. Alimsomesha mwanaye nchini Marekani. Ushamba wa madaraka kautoa wapi?

Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kuwa DC Kama kijana wake. Alimsomesha mwanaye nchini Marekani. Ushamba wa madaraka kautoa wapi?

Sabaya amekuwa na usumbufu toka Secondary. Nasema hivyo, maana tumesoma secondary moja huko Ikizu-Mara, na alikuwa nyuma yangu.
 
Ktk uchunguzi wangu nimebaini kuwa baba mzazi wa Lengai Ole Sabaya Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali serikalini ikiwa ni pamoja na UDC.

Pia nimekuja kugundua Sabaya alipata elimu yake nchini Marekani.

Sasa Cha kujiuliza mbona watoto wa viongozi wastaafu ni waadilifu?
Mbona ni tofauti kabisa kwa Sabaya?

Pia Sabaya katembea na kupata elimu ughaibuni, tena USA, Sasa ushamba wa madaraka kautoa wapi?

Exposure yoote hiyo lakini utadhani Layman?
Wewe labda kama unamzungumzia Marekani ile baa ya kienyeji kata ya Sambasha Arumeru ambapo Sabaya mdogo aliwahi kuwa diwani, sio Marekani ya Joe Biden usituuzie matango pori!
 
Kusoma nje ya Africa sio kipimo cha uadilifu

Wala baba kuwa muadilifu sio kanuni ya kuwa watoto wawe waadilifu, maana ingekua hivyo tuu sisi wanadamu wote tungekua watakatifu kama Muumba wetu

Ole kashabeba mzigo wake tumwache na maisha yake mapya
Cc Crimea Idugunde
 
Ktk uchunguzi wangu nimebaini kuwa baba mzazi wa Lengai Ole Sabaya Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali serikalini ikiwa ni pamoja na UDC.

Pia nimekuja kugundua Sabaya alipata elimu yake nchini Marekani.

Sasa Cha kujiuliza mbona watoto wa viongozi wastaafu ni waadilifu?
Mbona ni tofauti kabisa kwa Sabaya?

Pia Sabaya katembea na kupata elimu ughaibuni, tena USA, Sasa ushamba wa madaraka kautoa wapi?

Exposure yoote hiyo lakini utadhani Layman?
Kwa hiyo kijana alifanya mausenge yote hayo huku babake akishangilia siyo!!
 
Ktk uchunguzi wangu nimebaini kuwa baba mzazi wa Lengai Ole Sabaya Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali serikalini ikiwa ni pamoja na UDC.

Pia nimekuja kugundua Sabaya alipata elimu yake nchini Marekani.

Sasa Cha kujiuliza mbona watoto wa viongozi wastaafu ni waadilifu?
Mbona ni tofauti kabisa kwa Sabaya?

Pia Sabaya katembea na kupata elimu ughaibuni, tena USA, Sasa ushamba wa madaraka kautoa wapi?

Exposure yoote hiyo lakini utadhani Layman?
Elimu gani hiyo aliyoipata ughaibuni?wakati tunasikia ana ka diploma ka kuunga unga alikokapata St John's university(mazengo ya zamani)Dodoma.
 
Ole Sabaya mtoto sio TISS, aligushi vitambulisho na aliwahi kushitakiwa, Magufuli kaifuta kesi na kumteua DC. Maajabu kweli!!!
Huyo walimruka tu ndugu yangu ili ionekane TISS ina watu wasafi ila ukweli ni TISS full ndo maana Magufuli alivyojua ni TISS akafuta kesi na kumteua u-DC.

Alivyokua anasema mamlaka yake ya uteuzi imemtuma alikua kwny dawati la P.Sponsor amefariki ametumika (useless product ).
 
Kwenye Kula hakuna ushamba, unajuwa kwamba the late Daniel arap MOI licha ya kuwa Rais lakini Kila siku alikuwa anakula mahindi ya kuchemsha ? Mugabe alipenda ugali wa mtama na mboga za kiafrica pia Mobutu alipenda Kula kisamvu. Hawa wote walikuwa na pesa nyingi mno ,ukijua anachokula Trump pia utamuona mshamba
Sio kwa wali na wine. Huo ni umasai.
 
Duuuh sidhani kama Jambazi sabaya amesoma marekani....Jamaa mbona ni mrugaruga?
 
Ktk uchunguzi wangu nimebaini kuwa baba mzazi wa Lengai Ole Sabaya Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali serikalini ikiwa ni pamoja na UDC.

Pia nimekuja kugundua Sabaya alipata elimu yake nchini Marekani.

Sasa Cha kujiuliza mbona watoto wa viongozi wastaafu ni waadilifu?
Mbona ni tofauti kabisa kwa Sabaya?

Pia Sabaya katembea na kupata elimu ughaibuni, tena USA, Sasa ushamba wa madaraka kautoa wapi?

Exposure yoote hiyo lakini utadhani Layman?
Marekani ya wapi blaza hebu tueleweshe taratibu 😅😅😅
 
Labda amesoma USA river sio USA yamajuu,ushamba wote ule alikaaje nawasungu.
Huyo alifeli vibaya form four akakimbilia Uganda wasiojali principal pass tatu karudi kaenda chuo st Johns isiyojali sana ufaulu wa form six we mradi ulipe ada nauwe umefika six, baadae kasoma online marekani chuo ambacho hata lyatonga au sumaye wangefaulu!!
Bila haya mnatupigia makelele hapa eti lisomi la marekani!!! Kwa akili ipi ulomwona anayo au kakiingereza alikookoteza uganda
Alafu muache uzezeta hili sio jukwaa lamazezeta undeni lenu.
Chunguzaga babaake alifanyaje watu Kule serengeti na nyerere alivyomsaidia kutokana na kuchukiza RAIA...karma is real watu muwe mnaelewa
Nifafanulie kuhusu elimu ya uganda kuna dogo nataka nimpeleke huko

Please
 
Back
Top Bottom