TheCombination
JF-Expert Member
- May 21, 2021
- 370
- 729
St.John dodomaChuo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
St.John dodomaChuo
Kwasababu gan?au ndio tiss kwel?!
Alikua mbumbu tu. Nani aliwaambiaga hawamalizagi.Kwasababu gan?au ndio tiss kwel?!
Wewe labda kama unamzungumzia Marekani ile baa ya kienyeji kata ya Sambasha Arumeru ambapo Sabaya mdogo aliwahi kuwa diwani, sio Marekani ya Joe Biden usituuzie matango pori!Ktk uchunguzi wangu nimebaini kuwa baba mzazi wa Lengai Ole Sabaya Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali serikalini ikiwa ni pamoja na UDC.
Pia nimekuja kugundua Sabaya alipata elimu yake nchini Marekani.
Sasa Cha kujiuliza mbona watoto wa viongozi wastaafu ni waadilifu?
Mbona ni tofauti kabisa kwa Sabaya?
Pia Sabaya katembea na kupata elimu ughaibuni, tena USA, Sasa ushamba wa madaraka kautoa wapi?
Exposure yoote hiyo lakini utadhani Layman?
Kwa hiyo kijana alifanya mausenge yote hayo huku babake akishangilia siyo!!Ktk uchunguzi wangu nimebaini kuwa baba mzazi wa Lengai Ole Sabaya Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali serikalini ikiwa ni pamoja na UDC.
Pia nimekuja kugundua Sabaya alipata elimu yake nchini Marekani.
Sasa Cha kujiuliza mbona watoto wa viongozi wastaafu ni waadilifu?
Mbona ni tofauti kabisa kwa Sabaya?
Pia Sabaya katembea na kupata elimu ughaibuni, tena USA, Sasa ushamba wa madaraka kautoa wapi?
Exposure yoote hiyo lakini utadhani Layman?
Huwezi kusoma US afu ukarudi mshamba vile...haiwezekani.acheni kumpaisha amesoma wapi bwana huyu
Maana na makonda pale moshi ni stori hiz hiz af wanajifanya walikua kwenye mission maalum vyuonAlikua mbumbu tu. Nani aliwaambiaga hawamalizagi.
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Elimu gani hiyo aliyoipata ughaibuni?wakati tunasikia ana ka diploma ka kuunga unga alikokapata St John's university(mazengo ya zamani)Dodoma.Ktk uchunguzi wangu nimebaini kuwa baba mzazi wa Lengai Ole Sabaya Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali serikalini ikiwa ni pamoja na UDC.
Pia nimekuja kugundua Sabaya alipata elimu yake nchini Marekani.
Sasa Cha kujiuliza mbona watoto wa viongozi wastaafu ni waadilifu?
Mbona ni tofauti kabisa kwa Sabaya?
Pia Sabaya katembea na kupata elimu ughaibuni, tena USA, Sasa ushamba wa madaraka kautoa wapi?
Exposure yoote hiyo lakini utadhani Layman?
Huyo walimruka tu ndugu yangu ili ionekane TISS ina watu wasafi ila ukweli ni TISS full ndo maana Magufuli alivyojua ni TISS akafuta kesi na kumteua u-DC.Ole Sabaya mtoto sio TISS, aligushi vitambulisho na aliwahi kushitakiwa, Magufuli kaifuta kesi na kumteua DC. Maajabu kweli!!!
Sio kwa wali na wine. Huo ni umasai.Kwenye Kula hakuna ushamba, unajuwa kwamba the late Daniel arap MOI licha ya kuwa Rais lakini Kila siku alikuwa anakula mahindi ya kuchemsha ? Mugabe alipenda ugali wa mtama na mboga za kiafrica pia Mobutu alipenda Kula kisamvu. Hawa wote walikuwa na pesa nyingi mno ,ukijua anachokula Trump pia utamuona mshamba
Hahahaaaa!!! Mererani.Chuo kasoma St John Dodoma, hiyo marekani itakuwa ya uko umasaini
Marekani ya wapi blaza hebu tueleweshe taratibu 😅😅😅Ktk uchunguzi wangu nimebaini kuwa baba mzazi wa Lengai Ole Sabaya Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali serikalini ikiwa ni pamoja na UDC.
Pia nimekuja kugundua Sabaya alipata elimu yake nchini Marekani.
Sasa Cha kujiuliza mbona watoto wa viongozi wastaafu ni waadilifu?
Mbona ni tofauti kabisa kwa Sabaya?
Pia Sabaya katembea na kupata elimu ughaibuni, tena USA, Sasa ushamba wa madaraka kautoa wapi?
Exposure yoote hiyo lakini utadhani Layman?
Anasumbuliwa au yeye ndiye msumbufuSabaya amekuwa na usumbufu toka Secondary. Nasema hivyo, maana tumesoma secondary moja huko Ikizu-Mara, na alikuwa nyuma yangu.
Nifafanulie kuhusu elimu ya uganda kuna dogo nataka nimpeleke hukoLabda amesoma USA river sio USA yamajuu,ushamba wote ule alikaaje nawasungu.
Huyo alifeli vibaya form four akakimbilia Uganda wasiojali principal pass tatu karudi kaenda chuo st Johns isiyojali sana ufaulu wa form six we mradi ulipe ada nauwe umefika six, baadae kasoma online marekani chuo ambacho hata lyatonga au sumaye wangefaulu!!
Bila haya mnatupigia makelele hapa eti lisomi la marekani!!! Kwa akili ipi ulomwona anayo au kakiingereza alikookoteza uganda
Alafu muache uzezeta hili sio jukwaa lamazezeta undeni lenu.
Chunguzaga babaake alifanyaje watu Kule serengeti na nyerere alivyomsaidia kutokana na kuchukiza RAIA...karma is real watu muwe mnaelewa
Lipia consultation fee kajamaa bia mbili na mshkaki mmoja tuuNifafanulie kuhusu elimu ya uganda kuna dogo nataka nimpeleke huko
Please
Total amount?Lipia consultation fee kajamaa bia mbili na mshkaki mmoja tuu