Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kuwa DC Kama kijana wake. Alimsomesha mwanaye nchini Marekani. Ushamba wa madaraka kautoa wapi?

kautoa kichwani kwake. Ina mana hakujua kikatiba yeye hana immunity? Huo ni msala wake. Ajipe moyo atashinda majaribu. Ila lazima cha moto amekiona
 
Le Mutuz kasoma US na alikuwa mjasiriamali pia, nasikia alikuwa na trucking company New York ila wale mashangingi ya mjini na siasa hewa zimemwaribu kichwa kabisa
 
Ongezea na Mwl Nyerere alipenda sana vitumbua na alikuwa na mpishi maalum...
 
Sabaya ana pesa nyingi sana wala sio mshamba.serikali inakufunga alafu inakuacha na hela,zile 100 mil wanazosema kaiba na zingine nyingi kaachiwa
Pesa zimekuwa freezed nimesikia labda kama kachimbia zingine shimoni...
 
Wewe unatuona wajinga sana, huyo dogo amesoma St. john Dodoma pale alikuwa tapelitapeli tu toka enzi hizo waliosoma nae huko wanamjua sasa hii ya USA braza umetuokota unless unamaanisha USA river pale chugan
 
Kwani Ulaya hakuna majizi na majangili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…