Chumchang Changchum JF-Expert Member Joined Nov 1, 2013 Posts 5,988 Reaction score 6,226 Jul 19, 2024 #21 ukikaidi utapigwa2 said: Kawashika nyie mbumbumbu Click to expand... Dawa yenu Kaliju annas.. 😬
Mgagaa na Upwa JF-Expert Member Joined Sep 30, 2013 Posts 13,481 Reaction score 28,116 Jul 19, 2024 #22 Yanga hatuna hata presha na huyo mlia njaa,hana ubavu wa kupambana na Yanga nyakati,makolo mngejikita kwenye bakuli ili mumlipe kibu pesa zake za usajili ili aripoti kambini kuliko kupoteza muda kumdiscuss huyo mzee
Yanga hatuna hata presha na huyo mlia njaa,hana ubavu wa kupambana na Yanga nyakati,makolo mngejikita kwenye bakuli ili mumlipe kibu pesa zake za usajili ili aripoti kambini kuliko kupoteza muda kumdiscuss huyo mzee
jmushi1 Platinum Member Joined Nov 2, 2007 Posts 26,329 Reaction score 25,263 Jul 19, 2024 #23 Kalpana said: Ila hapo kwa Ally Kamwe hapana jamani anamsingizia Aly ni Utopolo mtupuu...mpka anazimia kwa furaha uwanjani unasema ni Simba hapana.. Click to expand... Unadhani kwanini kuna watu wenye vipaji vya kuigiza?
Kalpana said: Ila hapo kwa Ally Kamwe hapana jamani anamsingizia Aly ni Utopolo mtupuu...mpka anazimia kwa furaha uwanjani unasema ni Simba hapana.. Click to expand... Unadhani kwanini kuna watu wenye vipaji vya kuigiza?
chiembe JF-Expert Member Joined May 16, 2015 Posts 16,859 Reaction score 28,112 Jul 19, 2024 #24 Yanga kumbe ni Simba B
dem boy JF-Expert Member Joined Nov 4, 2016 Posts 6,580 Reaction score 15,739 Jul 19, 2024 #25 maskini ya mungu mzee magoma hajui kama yanga ni timu ya kila mtu ktk nchi hii,UZEE SOMETIMES MBAYA
CHIEF PRIEST JF-Expert Member Joined Dec 13, 2021 Posts 11,635 Reaction score 21,347 Jul 19, 2024 #26 Kalpana said: Ila hapo kwa Ally Kamwe hapana jamani anamsingizia Aly ni Utopolo mtupuu...mpka anazimia kwa furaha uwanjani unasema ni Simba hapana.. Click to expand... Ali Kamwe alikuwa analilia mshahara mnono anaolipwa Yanga, fedha kwanza ushabiki baadae.
Kalpana said: Ila hapo kwa Ally Kamwe hapana jamani anamsingizia Aly ni Utopolo mtupuu...mpka anazimia kwa furaha uwanjani unasema ni Simba hapana.. Click to expand... Ali Kamwe alikuwa analilia mshahara mnono anaolipwa Yanga, fedha kwanza ushabiki baadae.
Its Pancho JF-Expert Member Joined Sep 21, 2018 Posts 15,966 Reaction score 26,404 Jul 19, 2024 #27 Tukachonge funguo tumpe huyu mzee
Papushikashi JF-Expert Member Joined Feb 28, 2016 Posts 10,963 Reaction score 13,287 Jul 19, 2024 #28 joseph1989 said: Tatizo lake katiba au watu..........? Click to expand... Ndio ujue kuwa huyu either katumwa au anamambo yake binafsi maana hana anachosimamia
joseph1989 said: Tatizo lake katiba au watu..........? Click to expand... Ndio ujue kuwa huyu either katumwa au anamambo yake binafsi maana hana anachosimamia