Kule South tulithibitisha Africa kuwa hatuwezekani kwa ushirikina.Timu ya wachawi,Awesu hakukosea.
Si uliona mlibanduliwa na Azam na taboraHuyo andazi tu hana lolote kesho yanga inapata matokeo. Hv ile kurjuan tv yake iliishia wapi
Pangani uchawi SC maquma nyie na uchawi wenu..mwaka huu hampati kitu hata ubingwa mtakaouchukua utakua wa hirizi la kichawi la kutoka panganiKule South tulithibitisha Africa kuwa hatuwezekani kwa ushirikina.