Mzee Magoma sio adui wa Yanga ila anapigania maslahi ya wana Yanga. Kizazi hiki cha Yanga hakiwezi kumuelewa

Mzee Magoma sio adui wa Yanga ila anapigania maslahi ya wana Yanga. Kizazi hiki cha Yanga hakiwezi kumuelewa

Mkono Mmoja

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2019
Posts
3,359
Reaction score
6,568
Salam!

Moja kwa moja napenda kumpongeza Mzee Juma Magoma kwa ushujaa wake wa kusimama mbele ya utawala wa Farao wenye lengo la kupora hazina ya wanachama wa Yanga. Inahitaji utulize kichwa kuelewa hoja za mzee wetu Magoma dhidi ya utawala wa Farao na mhabeshi.

Ni wazi kwa kizazi hiki cha yanga hiphop (kina Nalia ngwena ,Labani na wengineo) hawawezi kuelewa maslahi yanayopiganiwa na mzee Magoma. Mzee Magoma analilia hazina za Yanga zisiporwe na farao. Ambaye anaitumia Yanga ili kufanikisha biashara zake.

Hivi Yanga ni ya kupewa sh 1300 kama malipo ya jezi zinazouzwa 35000? Farao anavuna mali za mabilioni huku akiwahadaa wana yanga kwa supu ya nyama ya ng'ombe, Chapati mbili na show za Diamond. Wazee wanaoijua Yanga na kujua uchungu waliopitia kuifikisha yanga katika mafanikio wamestuka na kuamua kupigania ukombozi wa Klabu yao.

Moja kwa moja naungana na mzee wangu Magoma na kukitaka kizazi cha kukurupuka cha mitandaoni kukaa chini na kusikiliza historia ya klabu yao ya Yanga. Kisha watajua janja janja za utawala wa Farao na msomali.

Chanzo: Jembe sports


View: https://m.youtube.com/watch?v=C4SeZ-F13ow
 
Hao matajiri au wasomi wanaopigiwa debe kwanini wasianzishe timu zao badala yake wanabaki kugombania timu na wazee au Wala mihogo Kama wanavyowaita.pamoja na kuwadharau Wala mihogo lakini wao ndio wamepambana mpaka timu zao zikawa na majina.
Kuwa na majina bila ela ni ujinga na upumbavu. Kuna timu nyingi sana zilikuwa zina majina ila kwasasa hawana maajabu kwenye soka la Africa kwasababu hawana nguvu ya kipesa kusajili benchi bora, wachezaji bora na n.k. Iko wapi Asante Kotoko? mpira ni pesa sio makele ya kuwa na jina
 
Salam!

Moja kwa moja napenda kumpongeza Mzee Juma Magoma kwa ushujaa wake wa kusimama mbele ya utawala wa Farao wenye lengo la kupora hazina ya wanachama wa Yanga. Inahitaji utulize kichwa kuelewa hoja za mzee wetu Magoma dhidi ya utawala wa Farao na mhabeshi.

Ni wazi kwa kizazi hiki cha yanga hiphop (kina Nalia ngwena ,Labani na wengineo )hawawezi kuelewa maslahi yanayopiganiwa na mzee Magoma. Mzee Magoma analilia hazina za Yanga zisiporwe na farao. Ambaye anaitumia Yanga ili kufanikisha biashara zake.

Hivi Yanga ni ya kupewa sh 1300 kama malipo ya jezi zinazouzwa 35000? Farao anavuna mali za mabilioni huku akiwahadaa wana yanga kwa supu ya nyama ya ng'ombe , Chapati mbili na show za diamond. Wazee wanaoijua Yanga na kujua uchungu waliopitia kuifikisha yanga katika mafanikio wamestuka na kuamua kupigania ukombozi wa Klabu yao.

Moja kwa moja naungana na mzee wangu Magoma na kukitaka kizazi cha kukurupuka cha mitandaoni kukaa chini na kusikiliza historia ya klabu yao ya Yanga. Kisha watajua janja janja za utawala wa Farao na msomali.

Chanzo : Jembe sports


View: https://m.youtube.com/watch?v=C4SeZ-F13ow

Unaposema anapigania maslahi ya wanayanga unamaanisha nini? Mwanayanga unahitaji maslahi gani kwa Yanga zaidi ya kuiona timu yako inafanya usajili mzuri, na kupata makombe, na mwisho wa siku kukupa furaha!! Let us not complicate things. Huyo Magoma hana lolote zaidi ya kutaka tu kuleta mgogoro kwenye klabu.
 
Kuwa na majina bila ela ni ujinga na upumbavu. Kuna timu nyingi sana zilikuwa zina majina ila kwasasa hawana maajabu kwenye soka la Africa kwasababu hawana nguvu ya kipesa kusajili benchi bora, wachezaji bora na n.k. Iko wapi Asante Kotoko? mpira ni pesa sio makele ya kuwa na jina
Sasa hao wenye pesa wangefanya Kama Azam kuanzisha timu zao, tungekuwa na timu sita zenye pesa hizi timu nyingine ama zingepotea au zingebadilika
 
Hujajibu swali, Acha kuruka ruka
Sema wewe ulitoa 100 bilioni, Hersi alitoa tilioni 5, GSM alitoa tilioni 80, Zahera alitoa 10,000/-

Wanachama au wananchi walitoa jumla 235/- viingilio 17/-
 
Wewe ni mwanachama wa Yanga, shabiki au mpenzi?

Magoma ni mwanachama
 
Salam!

Moja kwa moja napenda kumpongeza Mzee Juma Magoma kwa ushujaa wake wa kusimama mbele ya utawala wa Farao wenye lengo la kupora hazina ya wanachama wa Yanga. Inahitaji utulize kichwa kuelewa hoja za mzee wetu Magoma dhidi ya utawala wa Farao na mhabeshi.

Ni wazi kwa kizazi hiki cha yanga hiphop (kina Nalia ngwena ,Labani na wengineo )hawawezi kuelewa maslahi yanayopiganiwa na mzee Magoma. Mzee Magoma analilia hazina za Yanga zisiporwe na farao. Ambaye anaitumia Yanga ili kufanikisha biashara zake.

Hivi Yanga ni ya kupewa sh 1300 kama malipo ya jezi zinazouzwa 35000? Farao anavuna mali za mabilioni huku akiwahadaa wana yanga kwa supu ya nyama ya ng'ombe , Chapati mbili na show za diamond. Wazee wanaoijua Yanga na kujua uchungu waliopitia kuifikisha yanga katika mafanikio wamestuka na kuamua kupigania ukombozi wa Klabu yao.

Moja kwa moja naungana na mzee wangu Magoma na kukitaka kizazi cha kukurupuka cha mitandaoni kukaa chini na kusikiliza historia ya klabu yao ya Yanga. Kisha watajua janja janja za utawala wa Farao na msomali.

Chanzo : Jembe sports


View: https://m.youtube.com/watch?v=C4SeZ-F13ow

Labani hawezi tokea hapa 😀 😀
 
Hao matajiri au wasomi wanaopigiwa debe kwanini wasianzishe timu zao badala yake wanabaki kugombania timu na wazee au Wala mihogo Kama wanavyowaita.pamoja na kuwadharau Wala mihogo lakini wao ndio wamepambana mpaka timu zao zikawa na majina.
Ndiyo maana Bakhresa alipoona figisu figisu kuifadhili Simba akajiweka pembeni na kuanzisha Azam yake. Hawa matajiri kuna faida wanapata katika hizi timu za Kariakoo.
 
Hao matajiri au wasomi wanaopigiwa debe kwanini wasianzishe timu zao badala yake wanabaki kugombania timu na wazee au Wala mihogo Kama wanavyowaita.pamoja na kuwadharau Wala mihogo lakini wao ndio wamepambana mpaka timu zao zikawa na majina.
Sababu kwa Tanzania hivyo ndio vilabu vyenye mashabiki wengi. Na soka la Tanzania ni tofauti na nchi zingine, huku hakuna shabiki wa mpira nje ya Simba na Yanga. Mfano mdogo tu Azam ina miaka takribani 20 hadi sasa ila mashabiki wake Tanzania nzima hawafiki hata laki moja.
 
Hao WAZANDIKI hatujuwi wametumwa na nani?!
Timu ikitulia na kufanya mambo SHIDAAAA!
HAKI YA NANI TUTAWACHAPA HAO WAZEE BAKORA!
 
Timing yake mbaya, tunataka kwanza KOMBE LA CHAMPIONS LEGUE
 
Back
Top Bottom