Mzee Majuto akila ujana

D 007

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2012
Posts
206
Reaction score
147
Mchekeshaji maarufu nchini mzee majuto akila ujana taratibuuu.....



 

Attachments

  • majuto ..1.jpg
    23 KB · Views: 3,956
  • majuto 2.jpg
    21.6 KB · Views: 3,947
Kesho ooo nichangieni. Picha hii na iwe shahidi wetu
 
si anasemaga hatwangi gambe??? huyu mzee vipi naye??
 
Huyu atakuja kusumbua sana kama small na mwenzie kijicho
 
Huyu atakuja kusumbua sana kama small na mwenzie kijicho

Majuto ame invest kwao Tanga hawezi kumsumbua mtu ni mmoja kati ya waigizaji waliostuka analipwa hela nyingi kucheza movie na matangazo
 
Kesho ooo nichangieni. Picha hii na iwe shahidi wetu
Kk utafikil ww unywi bia cku moja moja hii ni picha tu na ukiangalia vzr hao jamaa ndio waliotaka picha wamemkuta mzee wa watu na starehe zake wakataka picha so usimuhukumu mzee wa watu kihivyo kk
 
Kweli vitu vya uhakika ingekuwa Safari ungekuta anapepewa........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…