REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,664
- 9,929
Jana limefanyika zoezi la utoaji wa tuzo katika secta ya filamu Tanzania, ni jambo jema na la kupongezwa kwani ni hatua nzuri kwa tasnia ya filamu Tanzania.
Pamoja na yote dosari niliyoiyona ni kutotambua mchango wa mzee Majuto katika secta hii ya burudani, ingawa mzee hakuwepo katika kipengele chochote cha ushindani, ila ni dhahiri shahiri mzee Majuto katoa mchango mkubwa sana katika secta hii ya filamu.
Tunajua kuna kuteleza katika upangaji wa majukumu ila mda ujao mzee msimtupe katuburudisha sana sana mzee wetu.
Pamoja na yote dosari niliyoiyona ni kutotambua mchango wa mzee Majuto katika secta hii ya burudani, ingawa mzee hakuwepo katika kipengele chochote cha ushindani, ila ni dhahiri shahiri mzee Majuto katoa mchango mkubwa sana katika secta hii ya filamu.
Tunajua kuna kuteleza katika upangaji wa majukumu ila mda ujao mzee msimtupe katuburudisha sana sana mzee wetu.