Moneyowner
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,423
- 1,252
Ila mda mwingine tujitahidi kuachana na ishu zisizo na maana kama hii ya makonda ( uliyemtaja kama Mr F F F F F )
tujadili hoja na mawazo ( ideas and not merely events and people)[/QU
kama wiki ivi, ni ajali ya gari iligonga nguzo ya umeme yeye akafa palepale, rafiki yaki wakimani na mke wake walinusurika japo waliumia.asee hyo habari ya aka mzee wa ayeeyaa kufariki imenistua na kunisikitisha,,alifariki lin?? rip asee
ajali ya gari mzee aliparamia nguzo ya umeme akafa pale pale, wakimani alinusurika japo aliumiahuyu jamaa ni marehemu?ooh.rip
ah a a poaMzee Majuto is one of the best of the best!
YAANI MLETA MADA UMENIWAHI KIDOGO TUU!
Cheti cheti chetiIla mda mwingine tujitahidi kuachana na ishu zisizo na maana kama hii ya makonda ( uliyemtaja kama Mr F F F F F )
tujadili hoja na mawazo ( ideas and not merely events and people)
Nadhani itakuwa kwenye trailer ya movie za kina mlelaasee hyo habari ya aka mzee wa ayeeyaa kufariki imenistua na kunisikitisha,,alifariki lin?? rip asee
Majuto ni heavyweight artist.. Na kwa sasa Tanzania inamtumia kwa upande mdogo sana wa uwezo wake.Majuto baba lao,ana uhalisia
Mh mi Senga simwelewi kiukweli..He is the best plus senga na pembe walau kwa bongo commedy hua wanaleta ladha sio akina futuhi 😀😀
Wewe ni mrembo (natania)Hana maadili (natania)
Ni wachekeshaji kweli,ila kwa upande wangu hao ni wa kawaida tu. Kuna Uzi humu JF unaomtaja binti anayechekesha katika clip za wassup, ana lafudhi ya kihaya..Wachekeshaji ninao wakubali hapa bongo ni Mboto ,Tiny White na Ringo
naamini kundi bora la comedian lililobaki ni Mizengwe ITV kila jumapili saa tatu usiku.Mi namkubali Sumaku wa comedy ya ITV Jumapili usiku saa 3.
Yule nadhani hata stand-up comedy angeweza,hajajiongeza tu. Yule baba ni noma,kile kibabu na Yule wa lafudhi ya Kikongo,na wale wengine,nao wanachekesha,ila the best wangu ni Sumaku
Nakubaliana na wewe kwa 100%Mizengwe ni kipindi pekee cha maigizo ninachoangalia toka tanzania! big up kwa.kweli.
msanii anayesimama peke yake kwa ubora uliotukuka ni Majuto.
duh.very sory asee.nawaelewa sana wale jamaa,wako vizuriajali ya gari mzee aliparamia nguzo ya umeme akafa pale pale, wakimani alinusurika japo aliumia
mizegwe wana kama mwezi hawatupii picha you tube sijui kwa niniMi namkubali Sumaku wa comedy ya ITV Jumapili usiku saa 3.
Yule nadhani hata stand-up comedy angeweza,hajajiongeza tu. Yule baba ni noma,kile kibabu na Yule wa lafudhi ya Kikongo,na wale wengine,nao wanachekesha,ila the best wangu ni Sumaku
Au mabosi wao wanamind labdamizegwe wana kama mwezi hawatupii picha you tube sijui kwa nini
mambo ya bishara hayo hatuwezi juaAu mabosi wao wanamind labda[/QU