Kukudume2013
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 1,659
- 734
Vote for majuto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vote for majuto
Mi_nakuzimia_wewekiukweli Majuto namzimia sana.
Are you serious?Kwa mara ya kwanza kuona maigizo ya Mzee Majuto ilikuwa Mwaka 1981 palekwenye shule ya Msingi Kilole. Kwa kweli aliweka dau la shilinga 100 kwa mtu ambaye hatacheka. Walikuwa watu kama 20 hivi ila wote mmoja baada ya mwingine walipokutika na hakuna aliyepata ile shilingi mia!
Why Not. Ilikuwa pale shule ya Msingi Kilole, Korogwe, MKoani Tanga!?Are you serious?
Aaah senga hata mimi namkubali saanaaaMmmmh kweli tunatofautiana me kingwendu wala hanichekeshi alafu anatumia nguvu sana kwenye uchekeshaji wake afadhali senga anachekesha
Mhhhh we nayeeDu, kachokaaaaaa,kama katapikwa na chatu!!!
Ni marehemu Kinyambe sio MpokiHuyo jamaa mwengine kafanana na Mpoki vile au ndugu yake?
Akikuomba vipkiukweli Majuto namzimia sana.
Why Not. Ilikuwa pale shule ya Msingi Kilole, Korogwe, MKoani Tanga!?