Kama unajua viwango vya comedy, huwezi kusema Majuto ni comedian mzuri.
Mzee Majuto, Bambo, kingwendu na Mtanga ni vichwa vya ukweli
Huyu ndiye mchekeshaji mwenye kipaji na sio wale wa clouds tv wanajiita vuvuzela hawana kipaji cha uchekeshaji wanalazimisha alafu hata haichekeshi.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
anaweza sana tu.anajua