Juzi kati nilifanikiwa kukutana na mkali huyu wa vichekesho akiwa na baadhi ya wasanii wengne.Nkapiga nae picha kujiwekea kumbukumbu.Mzee huyu ni king haswa.Sanaa ya bongo ingekuwa inalipa kivile mzee majuto alitakiwa awe anaishi masaki kama amekos vogue angekuwa anapush hata range rover sport