Scorpio Me
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 6,119
- 7,934
huyu jamaa ni marehemu?ooh.rip(RIP ayeya poa poa),
He is the best plus senga na pembe walau kwa bongo commedy hua wanaleta ladha sio akina futuhi 😀😀Mi ndo mchekeshaji na muigizaji pekee ninaye mkubali sana hapa bongo ,nikitaka kucheka sana naangaliaga chuchill show (RIP ayeya poa poa), akina JB waendelee tu kufuga matumbo na kumsupport mr F F F F F F F.
View attachment 499587View attachment 499588