Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafikiri atakuwa anajikaza tu. Huenda moyoni kuna tahayari na maumivu makubwa.Ana sura ngumu huyo muone hivyo hivyo
S
Huyu alisema Tunatumia Dola kubaki madarakani
Hapo wala hajali tena ndio kwanza anacheka tu
Kuna watu wana sura ya mbao
Kumbe hana kitu?! Hata balimi inashinda?! Crimea soma hiyooo?!Aisee huyo Crimea ninakutana naye sana mwanza ni mtu wa kupiga virungu kwenye mabaa
Chama Cha MambuziAcha waendelee kuparurana wenyewe na Chama chao Chakavu